Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Napata picha ya jogoo akimdandia tetea hapo kwenye blue... hii ni kiboko kwenye geti kama kuku ama mbuzi inamana huyo house aliondoka kwao yuko tayari mjomba ana kiu au maana sipati picha kwa kweli kufika kwenye gate na kudandia bila ya kuwa na steem yeyote ile... kweli duniani kuna mambo[/QUOTE]
Mkuu hapo pa red!! Jua hawa housebou/girls wanakuwa hawana uhuru sana wa masuala ya mapenzi hivyo wakipata mwanya wanautumia vilivyo na si mpaka apate stimu. Halafu pia jua kwa kuwa hawana uhakika wa masuala hayo huwa wao wanakuwa tayari muda wote hawahitaji kushtuliwa!!! Kumbuka hata wewe kama umesafiri au mwenzio amesafiri say mwezi na kama ulibaki mwaminifu akirudi tu siku hiyo hakuna hata cha michezo midogo midogo, kitendo cha kwenda kumpokea airport/stendi hapo hapo unatamani umalizie pale pale, na ukifika nyumbani kama kuna watoto unatamani uwaambie waende kwa jirani kucheza!!! Nani hapa anabisha????!!! Kwa huyo house boy na imagine mashine ilikuwa tayari nduki ilihitaji tu kumaliza kazi!!!Tatizo ni kwa huyo mama ambaye haheshimu mume wake!!! Kweli ndoa za siku hizi ni balaaaaa!! Botton line, huna budi kuwaruhusu wafanyakazi wako wa ndani angalao wawe wanatoka weekend, hata kama si kila weeked but angalao weekend mbili kwa mwezi wakamalize mambo hayo huko vinginevyo wataishia kuwa seduce watoto wako na mwishowe kutembea nao, au mkeo au ndugu yako au wafanyakazi kwa wafanyakazi au kubaka kabisa mabinti wa kazi wa jirani!!! Miaka hii ni tofauti sana na miaka ya nyuma, vijana wengi wanafahamu mapenzi vilivyo na wanaona ni stahili yao. Twende na wakati!!!