hehehe!kwa hiyo ulipokuwa nae alivaa tunguli?!
Masanilo totoz zinamsepa!
HEHEHE!sitaki kujua kwanini, FOR NOW!
Masanilo totoz zinamsepa!
Hali ni mbaya hata salamu zangu hawajibu...!
Hahaha! Fidel alimuuzia ile line yake!
Tumia staili nyingine. Kama mashairi hivi. Mwambie nguli akutungie kama misamiati haipandi.
Hahahahaha unajua kwa nn kajikita sana hapo Mchamba wima- Zenji balaa kule ni full kujiexpress.
Hahaha! Ndio maana kamanda kaweka kambi ya kudumu pale siyo?
Nina subiria dual citizenship niwe na ya Tanaganyika na Zanzibar
Hatutakupa wa bara, jana si umetufunga na maximo wetu weye?
Bara mdebwedo Masikio ni Mcheza Sinema yakhe!
Hehehe! Nasikia Kaseja na Chuji walimmegea baamedi wake akawamaindi!
Walijiexpress wadogo wale!
Hehehe! Nasikia Kaseja na Chuji walimmegea baamedi wake akawamaindi!
Walijiexpress na maskio au?
Shida niliyo nayo ni hawa marafiki, ilisikika eti mimi ni zaidi ya Fidel kwanye ile line ya kujiexpress
Swadakta kula za maoni zinaonyesha upo juu mpwa kwa kujiexpress kwa hiyo unaogopwa kama ukoma.
Hahahaha yeah sure kitoto chenyewe kipo kipo tu halingani na Eliza bana, vijana walijiexpress alipo kuja kupita Masikio Makimo akakuta utamu wote vijana wamemaliza kibaya zaidi wakati yeye anazama kitoto kikawa kinawataja hawa wadau jamaa kuwakomesha akawapa ban ya maisha Starz.