Hotuba za Rais Magufuli za kichwani zinakera, asome hotuba anayoandaliwa

Kweli bongo hata akitawala maraika bado watu watakosoa tu! Magu anajua mambo mengi yaliyokuwa ovyo ndio maana inatoa anaongea vitu vya ukweli na katika ukweli huo kuna watu unawagusa. Acheni blaablaa magu hana mchezo kama amekugusa tulia uje utumbuliwe.
 
Asilimia kubwa ya nyinyi watanzania mliopo ktk maofisi ya umma ni mafisadi au watoto wa mafisadi au vimada wa mafisadi.

Hotuba nzuri km hizo lazima ziwaogopeshe
Majitu yalizoea kuwa mavivu, likiingia kazini eti linatoka tena kwenda kunywa chai....linarudi kwenye dawati saa nne na nusu. Likitoka lunch saa 7 linarudi kazini saa Tisa na nusu huku likiwa na pombe kichwani. Saa kumi na nusu hilooo linaondoka. Leo hii huo upuuzi hamna ndio maana yamejawa na jazba haya mabwanyenye ya Ofisi za Umma.
 
Speech za Rais Magufuli zinashida kidogo, Rais akizungumza anazungumza kama mtu aliyejaa visasi na sifa nyingi, hana utaratibu mzuri katika kupangilia kile anachokisema.

Kama rais anapaswa kuzungumza kwa utaratibu na mpangilio hata kama ni sehemu anasisitiza jambo, vijembe kwa walio chini yake ni kutafuta tu kick kwa wananchi ambao mwenyewe keshatujua na amejawa na sifa tunazompa kila siku. Rais ni reflection ya watu alionao.
Huo ni mtazamo wako, uzuri wa Magufuli maneno ya pembeni hayampi shida. Ukweli ni kwamba hata ufanye jambo gani still watu wataongeaaaa tu. So I think tumuache Magufuli na system yake aendeshe nchi, ikifika mwisho na akashindwa ndio tuongee but for now ni mapema sana ku-judge.
 
Mimi naamini kuna siku huyu rais hawa mafisadi watamuhujumu.

Wahujumu uchumi waliozoea kupata pesa za kirahisi hawapendi hizi hotuba na watafuta mbinu hawa ya kumpoteza, tumuombee sana rais wetu wanyonge tuzidishe ibada. Rais anaumizwa na hali ya nchi ilivokua inakwenda na naamini tangu ni waziri lakn alizidiwa.

Amewashutumu majaji kwa kuwaachia wale wanaohujumu kwa makusudi.
 
Speech za Rais Magufuli zinashida kidogo, Rais akizungumza anazungumza kama mtu aliyejaa visasi na sifa nyingi, hana utaratibu mzuri katika kupangilia kile anachokisema.

Kama rais anapaswa kuzungumza kwa utaratibu na mpangilio hata kama ni sehemu anasisitiza jambo, vijembe kwa walio chini yake ni kutafuta tu kick kwa wananchi ambao mwenyewe keshatujua na amejawa na sifa tunazompa kila siku. Rais ni reflection ya watu alionao.


Subiri Lowassa au Mbowe wakiingia ikulu mtapangilia, mlishindwa kupangilia hotuba kwenye kampeni mtaweza ya wananchi.
 
Kwenye suala la diplomasia na busara tukubaliane Raisi wetu siyo mtaji wake..Hata kama ulikuwepo uwanja wa Taifa na kusikiliza hotuba yke ya kwanza kama Raisi yaani alikuwa anachanganya tu mambo.Ila ndo Magu huyo,tutamisi sana hotuba za Msoga.
Nadhani kwa sasa tulihitaji raisi kama yeye, hakuna kuangaliana usoni. Ukizingua unazinguliwa. Tutanyooka tu mbona hata hatutaki. Ni mperampera na mchakamchaka. Hayo mambo ya kufata taratibu ndio yaliyotufikisha hapa. Tujifunze kwa nchi zilizoendelea walipotokea huko nyuma.
 
Mbona Rais aliwambia hotuba niliyoandikiwa hii sijaisoma maana aina ninachotaka kuwambia hapa!Hivyo anauchungu na serikali yake anasema mtumishi analipwa 35ml aiwezekani!,akauliza mtu umemkamata na meno ya tembo au madawa mkononi unasema kesi inasubiri upelelezi!???,kuhusu swala la vitambulisho nani mwenye kitambulisho chenye sahihi yake?ila cha kupigia kura kina sahihi yako..na ni bilioni 2 vitambulisho 22ml wakati vya taifa ni 2ml na vimekula 167bilion sasa unaweza kuona alikuwa anasisitizia utii wa sheria.
 
Mimi naamini kuna siku huyu rais hawa mafisadi watamuhujumu.

Wahujumu uchumi waliozoea kupata pesa za kirahisi hawapendi hizi hotuba na watafuta mbinu hawa ya kumpoteza, tumuombee sana rais wetu wanyonge tuzidishe ibada. Rais anaumizwa na hali ya nchi ilivokua inakwenda na naamini tangu ni waziri lakn alizidiwa.

Amewashutumu majaji kwa kuwaachia wale wanaohujumu kwa makusudi.
Mkuu,
Hakuna anayeweza kumfanya lolote Mh Rais. Rais wa nchi sio mtu ni taasisi. Hao wahujumu UCHUMI watanyooka wao.
 
Nimesikitika sana kuona bado kuna watanzania mataahira hata baada ya mwaka huu kuanza. Wewe ni kama nzi. Nzi ukisafisha ndani ambako kulikuwa kuchafu anamiss sana takataka. Na ndo maana nawe unasema utamiss takataka hata baada ya usafi kufanyika. Watu walishazoea takataka/uchafu na sasa baada nyumba kufanyiwa usafi wanamiss uchafu na harufu mbaya. Umenifanya nitake kutapika kwa kuonesha utamiss uchafu

Kwenye suala la diplomasia na busara tukubaliane Raisi wetu siyo mtaji wake..Hata kama ulikuwepo uwanja wa Taifa na kusikiliza hotuba yke ya kwanza kama Raisi yaani alikuwa anachanganya tu mambo.Ila ndo Magu huyo,tutamisi sana hotuba za Msoga.
 
hiyo mipangilio ndio imetufikisha hapa, nyingi zenye mipangilio huwa hazijajaa uhalisia.

anachotaka watu wake wajue ni kuwa chini ya magufuli wanaoption mbili. kuwa msafi au kuondoka.
Nakumbuka hotuba za ben za mwisho wa mwezi hata ukiulizwa alikuwa anaongelea nini watu wengi walisha sahau wanakumbuka misamiati maalufu kama MICHAKATO na TIJA
 
Speech za Rais Magufuli zinashida kidogo, Rais akizungumza anazungumza kama mtu aliyejaa visasi na sifa nyingi, hana utaratibu mzuri katika kupangilia kile anachokisema.

Kama rais anapaswa kuzungumza kwa utaratibu na mpangilio hata kama ni sehemu anasisitiza jambo, vijembe kwa walio chini yake ni kutafuta tu kick kwa wananchi ambao mwenyewe keshatujua na amejawa na sifa tunazompa kila siku. Rais ni reflection ya watu alionao.
subiri speech za Rais wa UKAWA 2055
 
Nenda nchi yenye hotuba nzuri mkuu sasa hivi ni kazi tu
Mimi mwenyewe nishamkubali kwasababu yale ninayo yaamini nayaona kabisa yakitimia
Eee Mungu Umpe nguvu Rais huyu mwenye nia njema kabisa na Taifa lake!
 
Back
Top Bottom