Wakuu, hivi leo JK ana mpango wa kuhutubia Taifa kama ilivyokuwa kawaida kila mwisho wa Mwezi? Natamani sana kusikia kauli yake kuhusu hali halisi ya nchi kwa sasa kwani nimesoma hapa kwamba alishafanya kikao na Baraza la Mawaziri na kisha kukutana na Baraza la Usalama wa Taifa!