Xolani
Member
- Oct 26, 2017
- 84
- 122
HOTUBA ZA MARAIS KUONGEA NA WANANCHI KILA BAADA YA KIPINDI FULANI ZIMEISHA WAPI?
Wadau na wazalendo wa nchi hii ya Tanzania mimi kama mmoja wa wapenda maendeleo katika taifa letu la Tanzania naomba kufahamu ama kufahamishwa, ule utaratibu wa Marais waliotangulia kwa vipindi tofauti kuongea na wananchi kupitia luninga na radio kila baada ya miezi au mwezi zimeisha wapi?
Kwangu mimi nilikuwa naona ni jambo la busara na hekima kama kiongozi mkuu wa nchi kuongelea matatizo ama maendeleo ya wananchi kupitia njia tajwa hapo kuufamisha umma nchi ilipofikia na inapoelekea na juu ya maendeleo yao pamoja na ahadi zilizotolewa kupitia ilani ya chama husika.
Wazo langu ningemuomba Mh John pombe magufuli arudishe utaratibu wa kuongea na wananchi kola mwezi kuwapa hamasa na kuwaondolea uchovu wa kuichoka nchi Yao maana hakuna siku ambayo Mh Rais amegongwa na wananchi wake kupitia njia hizo zaidi ya kuongea kwenye mikutano.
Mh rais nakuomba urudishe utamuduni wa kuongea na sisi kupitia LUNINGA na RADIO
Wadau na wazalendo wa nchi hii ya Tanzania mimi kama mmoja wa wapenda maendeleo katika taifa letu la Tanzania naomba kufahamu ama kufahamishwa, ule utaratibu wa Marais waliotangulia kwa vipindi tofauti kuongea na wananchi kupitia luninga na radio kila baada ya miezi au mwezi zimeisha wapi?
Kwangu mimi nilikuwa naona ni jambo la busara na hekima kama kiongozi mkuu wa nchi kuongelea matatizo ama maendeleo ya wananchi kupitia njia tajwa hapo kuufamisha umma nchi ilipofikia na inapoelekea na juu ya maendeleo yao pamoja na ahadi zilizotolewa kupitia ilani ya chama husika.
Wazo langu ningemuomba Mh John pombe magufuli arudishe utaratibu wa kuongea na wananchi kola mwezi kuwapa hamasa na kuwaondolea uchovu wa kuichoka nchi Yao maana hakuna siku ambayo Mh Rais amegongwa na wananchi wake kupitia njia hizo zaidi ya kuongea kwenye mikutano.
Mh rais nakuomba urudishe utamuduni wa kuongea na sisi kupitia LUNINGA na RADIO