Makosa
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 1,183
- 2,612
Zamani kwenye media zote kuanzia RTD(TBC) mpaka za binafsi hotuba zote za Nyerere ziwe za kukemea au kuhamasisha zilikuwa zinarushwa bila hata kuchujwa maudhui.
Ila sahizi wanachukua tu "lukipande" lunampendeza "Mkulu" ndio wanarusha ila zile kalikali za kukemea sahizi huzikii kwenye media yoyote ile.
Tumechukua yale yanayotufurahisha na tumeyaacha yale yanayotuonya halafu tunasema Tunamuenzi Nyerere !!
Media zote sahizi zinaangalia hotuba zinaangalia zinazorushwa na TBC halafu na wao ndio wanacopy na kuzirusha.
Ila sahizi wanachukua tu "lukipande" lunampendeza "Mkulu" ndio wanarusha ila zile kalikali za kukemea sahizi huzikii kwenye media yoyote ile.
Tumechukua yale yanayotufurahisha na tumeyaacha yale yanayotuonya halafu tunasema Tunamuenzi Nyerere !!
Media zote sahizi zinaangalia hotuba zinaangalia zinazorushwa na TBC halafu na wao ndio wanacopy na kuzirusha.