Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,076
- 17,121
Wewe Buhare kichwa chako kina funza. Unaweza tu kutukana ila hoja huna. JokaKuu ameongea namna DIKTETA Magufuli alivyokuwa divisive force kwa Watanzania. Unachokataa ni nini sasa. Hujui kuwa kwa kauli yake alitamka kuwa hawezi kupeleka maendeleo kwenye majimbo ya wapinzaniKwa iyo kipindi chake Mtwara ilijitenga Na Rukwa? Ficha kamasi zako zilizo jaza kichwa chako