Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
Makofi tafadhari
naomba ufafanuzi tafadhali hapo kwenye red, wanasema budget iko supported na donors kwa 40%. Sasa ukichukua jumla ya budget ambayo ni Trilion 13.5 (?) ukatoa 40% ya wafadhili si tunabakiwa karibia na Trilion 8 hivi! Sasa kama deni linazidi kile tunachozalisha (kusanya) na increment ya deni ni 38% maana yake ni nini??? NCHI SI IMEFILISIKA!!!!????? Msaada wenu tafadhali wana jf
kweli mkuu wakati mwingine hakuna haja ya ku-quote hasa kwenye maelezo marefu mengi, shida kubwa kwa wanao tumia simu....Hivi ilikuwa lazima u-quote hilo habari zima na mwisho uweke maneno 6 tu? Daaaa.......
Ni kweli Chadema wanakwenda na sayansi na teknologia yakizazi kimpya namuona muheshimiwa Zito Kabwe anavyoFlow kuhusiana na mapendekezo ya bajeti kutoka kambi ya upinzani kwakutumia IPOD na sio karatasi! anashusha mistari yenye vina hata Mustafa Mkulo anaikubali babaake!
Hivi ilikuwa lazima u-quote hilo habari zima na mwisho uweke maneno 6 tu? Daaaa.......
NAPE elimu yake haijmsaidiakatibu uenezi wa magamba kaiponda... so nimepata jibu.
katibu uenezi wa magamba kaiponda... so nimepata jibu.
katibu uenezi wa magamba kaiponda... so nimepata jibu.