HOTUBA ya Upinzani Bungeni ambayo akina Werema. Lukuvi na wenzao, hawataki wananchi wajue,HII HAPA

Wembe ule ule uliomnyoa kanga manyoya. Kama walifikiri kuenguliwa bungeni Godbless Lema kutaleta unafuu kumbe wimbi la mageuzi si mtu fulani bali ni msukumo wa mazingira na wakati, ukiruka kuhunzi hiki unakutana na kingine hadi kieleweke.

Ndio hadaa ya kiti cha spika kutoruhusu baadhi ya vipengere visisomwe, lakini ukisoma hutoba hii yote yaliyoandikwa ni ukweli mtupu, na ukweli unauma ndio maana kiti cha spika kinajiumauma katika kuyumbisha kauli za kambi ya upinzani.

Mheshimiwa, Pale hakuna spika wala naibu spika, nakumbuka siku moja Dogo janja ( Mbunge wa Arumeru mashariki) alisema " ...ni kama mechi ya Simba na Yanga, halafu shabiki mmoja wa simba au Yanga anakuwa reffer ..." pataeleweka hapo ?
 
Mheshimiwa, Pale hakuna spika wala naibu spika, nakumbuka siku moja Dogo janja ( Mbunge wa Arumeru mashariki) alisema " ...ni kama mechi ya Simba na Yanga, halafu shabiki mmoja wa simba au Yanga anakuwa reffer ..." pataeleweka hapo ?

Ni ukweli mtupu, ndiyo hali halisi ya kufanya mambo kwa mazoea badala ya hoja za msingi.
 


Wana Jf,

Hotuba ya Rais JK ya mwisho wa mwezi aliongelea nini?? Nani alikuwa wa kwanza kuvunja sheria na katiba ya Nchi kama ndio wakitaka katiba na sheria kufatwa?

Na ndio maana naaawambieni Muhimili ulio baki ni Serikali tuuuuu nchii maana Bunge ndio hilo tena kauli mbiu KESI IKO MAHAKAMANI sheria sasa ati ndio zime kuwa applicable na mkiona hivyo ndizo nyakati za mwisho wa serikali ya CCM



Nakupata vizuri sana


Ila tuna "state of emergency". Katiba imesimamishwa kwa muda kimyakimya. Spika Makinda, Wabunge wa CCM, Mahakama, na Polisi wote wanajua
 
tatizo langu sijui ni kusoma makala ndefu???sijui na uchovu nao unachangia???????
wakuu hapa mnenisaidia hata audio yake tu kama kuna wmenye nae, baas hata kwenye gari asubuh au jioni ntaweka headfone niisikilize, aza waiz, ngoja ni save page niivutie kasi, by ze way, shukrani kwa aliyetubandikia hili bango
 
Thank we have read it, it is such a wonderful speech. Let CCM die peacefully.
 
Chadema mfikie hatua muachane na hii mipolisi mnaiteteaga haiskii,mi pumbavu sana kazi mabomu na virungu vya kupiga chadema tuhe'hebu angalia hotuba inavyowatete halafu halafu utaskia kesho wamezuia mkutan wa chadema,

Toa hofu, Jeshi la Polisi litasukwa upya na kuwa la kisomi na kiraia zaidi. hivi sasa hatuna jeshi la polisi bali tuna gang la polisi,
 
Katika vipindi vya Larry King live, na sasa,Pierce Morgan,kila siku tunaona yanazungumziwa mambo ambayo yapo mahakamani. Au katika kipindi cha Anderson Cooper utaona kesi kama vile ya George Zimmerman.
 
Cdm inapotokea mumeua mtu toeni hat a ubani ni utamaduni wa watz. Pole sana mpinga. Ninakuombea kwa mwenyezi mungu. Kwa niaba ya viongoziwa cdm naomba unisamehe huko uliko. Siasa si Ugomvi tusamehe na mungu akufufue Siku ya mwisho. Amen
 
Hawa jamaa SISIEMU, sasa hivi hawanatena msemo zaidi ya kutapatapa kuruka matapishi yao wenyewe!!
Lakini You can FOOL many people, but not ALL the people all the TIME!!!!
 
sasa mbon asi kali hivyo?ipo very fair.Sema tatizo CCM ni kama mwanamke wa kiislam kila sehemu ya mwili ni uchi na ikionekana na mwanamume wa kiislam swaumu inatoka.Nowdays ni ngumu kuishi na CCM kwani kila neno sahihi linawaanika.
Chunga mdomo wako we KILAZA!
 
Sisi kama Wananchi tuna mchango gani katika kubadili hali hii? AU ndo tunaishia kusifia hotuba na kusikitika siku zinaenda?
 
Anayenishangaza zaidi kwenye mambo haya ya Bunge, Mahakama na Serikali ni Jaji Werema, AG wetu. Yeye anataka vyombo vya dola visishutumiwe kwa lolote. Visiguswe kwa lugha asiyotaka kuisikia yeye. Anasema vyombo hivi ni safi kabisa na vinafanya kazi nzuri sana kwa Taifa hili. Hajiulizi madudu kama EPA, RichMond, hayo mauaji ya kisiasa yanatokeaje na vyombo hivi vipo! Tundu Lissu alipogusia uteuzi wa Majaji( bila shaka hata uteuzi wake kuwa Jaji ulikuwa wa hovyo tu) akaja juu. Akaibadili kabisa hoja ya Lissu ionekane ni kuwadhalilisha Majaji wote!
Jaji Werema hataki kabisa masuala ya mahakamani yaguswe hasa na upinzani. Anawatisha kwelikweli eti kwa kuwa ofisi ya DPP iko chini yake. Anaongea Bungeni kama KOVA! Anawaambia Mbunge atakayeitwa na polisi atoe ushirikiano! Anamwambia Lissu hana nidhamu. Anataka nidhamu ile iliyoko mahakamani ihamie Bungeni. Nadhani anatamani Spika angekuwa na nguvu nyingi kama za Jaji Mkuu! Nadhani pia nidhamu ile ya Kikurya ukichanganya na Ukatoliki wake vinamsumbua.
 
Naona kuna haja kubwa kwa kambi ya upinzani kuiomba mahakama kuu kutolea ufafanuzi dhana hii ya kutozungumzia suala lililoko mahakamani, maana inavyoelekea dhana hiyo imeanza kutumiwa na watawala kama kichaka cha kuficha madhambi yao. Kwa yeyote aliyefuatilia hili sakata la huko Singida atakubaliana na mimi kwamba namna polisi inavyoshughulikia suala hilo ni kuchezea akili ya watanzania. Kwanza tujiulize kama mkutano ulikuwa ni wa CDM huyo kiongozi wa CCM alikuwa akifanya nini kwenye mkutano huo! Pili kama mkutano huo ulikuwa na baraka zote za polisi ilikuwaje polisi hao wakashindwa kudhibiti kundi la vijana wanaosemekana kuwa ni wana CCM wasiingilie mkutano halali wa mahasimu wao? Kwa vyovyote vile , ili kupata ni nini hasa kimetokea huko Singida hapana budi iundwe tume huru ya kuchunguza jambo hilo, polisi wenyewe hawawezi kuchunguza jambo hilo kwakuwa ni watuhumiwa.
Aisee!Jamaa umeongea kitu cha msingi sana.THANKS
 
It may not be pleasant to the ears of many in power, but the speech is loaded with good stuff for our minds, especially now that what is known isnt what is being spoken about by those with access to the media! Long live Opposition!, Long Live CDM! May healing bring the ailing CCm back to the realities of the times that are!
 
Back
Top Bottom