hongera sana ustaz umenena yale yaliyo moyoni kwangu ndoto yako ndio ndoto yangu, hawa cuf wanachezewa makidaMAKIDA NA CCM HATA SIKU MOJA HAWATAKUBALI KUFANYA UCHAGUZI HURU NA WA HAKI HUKO ZENJ WANAJUA WAKIKUBALI MAMBO YAFANYWE KIDEMOKRASI YA KWWELI WATASHINDWA VIBAYA SANA WATAPOTEZA MADARAKA YAO,NA WANAJUA FIKA WAKIONDOSHWA MADARAKANI HAWATARUDI TENA MPK KIAMA WANANCHI WAMECHOKA KUFA NA NJAA ,NAHAWA KINA SEIF WANALIJUA HILO ILA WANASIASA ASILIMIA KUBWA NI WANAFIKI SEIF AMEDANGANYWA ANAWASALITI WATUWAKE NA WANANCHI WOTE WALIOMUONA KAMA MKOMBOZI WAO KUMBE NDUMILA KUWILI,CCM HAWAAMINIKI HATA KIDOGO,FUNIKA KOMBE MWANAHARAM APITE,WATAJUTA MA CUF PANAPO UHAI MUNGU ATUWEKE AMIN IKIFIKA NOVEMBA MWAKA HUU MTAUONA USALITI WA CCM NA HAPO NDIO ITAKUA MWISHO WA SEIF NA CUF YAKE WATAKAPOPIGWA GOLI LA KISIGINO KAMA CHAGUZI ZOTE ZILIZOPITA,HAPO NDIPO SEIF ATAKAPOPIGWA MAWE MTENDENI NA KILA KONA YA UNGUJA NA PEMBA,KAMA HAMUAMINI TUOMBE UHAI KWA MAULANA HAPO BAADA YA UCHAGUZI MTAYAKUMBUKA MANENO YANGU.Ingekuwa bora Seif na Amani waweke bayana kile walichokubaliana badala ya maelezo ya juu juu wanayoyatoa kwani wananchi wengi hatujui kile walichokubaliana. Hii taarifa imejaa porojo. Historia ya Unguka na Pemba tunaifahamu...Maalim twambie mlichokubaliana na rafikiyo Amani na si kuanza longolongo. Hii biashara ya kutaka eti Amani aongezewe sijui miaka miwili kukamilisha kazi aliyoianza haina mantiki. Katiba haisemi hivyo na kubadili katiba si suala la kutoa tamko tu.
Kama 'maridhiano' ni kati ya CUF na CCM (na si kati ya Seif na Amani) basi hata atakayechaguliwa kushika wadhifa wa urais wa Zanzibar atakuwa na jukumu la kutekeleza makubaliano hayo. Kitendo cha Seif kuwa na wasiwasi wa kutotekelezwa kwa 'maridhiano' baada ya Amani kuondoka madarakani kinaweza kutafsiriwa kuwa ni urojo wa 'maridhiano' hayo.
Undumilakuwili wa Seif na Ibrahim utadhihirika wakati na baada ya uchaguzi kwani CCM itaendelea kucheza rafu kwa kutumia migongo yao nao wataendelea kulia kilio cha mbwa mdomo juu.....kama huamini subiri na utanambia!