Hotuba ya Rais ya mwisho wa mwezi Februari, 2011

mh president, hajagusia suala la elimu kabisa!! Mwelekeo wa maisha ya watanzania yaani namna ya kupunguza mfumko wa bei, anyway labda ndo style.
anatapatapa maskini rais wetu.hivi kama hakuna mvua hakuna strategy zozote au alternative kwa ajili ya kukwamua tatizo?!eti naye anajiondoa!!kwa nini aligombea urais kama hawezi kukabiliana na changamoto?!!ajiuzulu!
 
Hatudanganyikiiii, CDM imeishaingia kwenye damu ya wananchi tofauti na anavyofikiria mkwele, huwezi kuwafanya watu wasiiamini CDM kwa hoja dhaifu kama hizi.
 
Hakuna jipya ni vichefuchefu vile vile, data za uongo na upupu mtupu, kwa nini rais unaongea kama waziri wa afya, ulinzi nk, and you dont talk kama rais mwenye authority, hutoi solution ni kulalamika tu, mmeamua kuleta Richmond nyingine baada ya hii kushtukiwa, shameless president arrrrgggggggggggg!
 
Tatizo la hotuba za kikwete siku zote huwa zinajulikana, kila inapofikia mwisho wa mwezi utajua tu kuwa anakwenda kuongelea nini.
Kuhusu Mkapa ile ilikuwa ni mashine bwana acha mchezo, jamaa alikuwa hatabiriki kabisa na hotuba zake zilikuwa zinakufanya mtu upende na kuendelea tu kusikiliza.
Eti hivi mimi nina tatizo gani kwasasa? kipindi cha mkapa nilikuwa sikosi kusikiliza hutuba zake za mwisho wa Mwezi lakini kipindi hiki cha kikwete nilisikiliza hotuba za miezi miwili tu baada ya hapo hata kama nipo sebureni anapoanza kuhutubia Jk mara nyingi najikuta naenda nje kupunga upepo, hivi hata wenzangu wanaJf mnaweza mkatoa tofauti ya Hotuba za Mkapa na huyu jamaa Jk?
 
Mkwere anafikiri hi ngumu ya maisha ni kupanda kwa sukari. Hizo bidhaa nyingine huzioni?
 
Usalama wa taifa jamani......
Uchumi umekuwaje vile ...
Chadema ni kweli wanataka kupora madaraka???

I GOT THE FEELINGS THAT OUR PRES IS APPREHENSIVE AT WHAT IS HAPPENING TO RULERS WHO DOESN'T DELIVER.
 
Nashauri kama inawezekana rais ashauriwe hii hotuba asiisome. Inahitaji marekebisho makubwa sana. Naona imejaa malalamishi...yaani ni kama imeandikwa na mtoto wa darasa la nne anayejitetea asipewe adhabu na mwalimu kwa uzembe alioufanya. My God!!!! Is this what our president wants to tell us??? mmmh, this can only happen in Tanzania
 
Hakuna jipya ni vichefuchefu vile vile, data za uongo na upupu mtupu. Ondoka JK tumekuchoka
ila inafurahisha kwa kuchukua zaidi ya dakika 15 akiiongelea CDM ? duh inaonekana hawa jamaa kwa sasa matumbo yana wachemka sana
 
Nashauri kama inawezekana rais ashauriwe hii hotuba asiisome. Inahitaji marekebisho makubwa sana. Naona imejaa malalamishi...yaani ni kama imeandikwa na mtoto wa darasa la nne anayejitetea asipewe adhabu na mwalimu kwa uzembe alioufanya. My God!!!! Is this what our president wants to tell us??? mmmh, this can only happen in Tanzania
inaweza ikawa imeandaliwa na malaria sugu au wajukuu wake ..who know
sio siri hii speech ni haina mashiko yoyote kabisa
 
Rais hajiamini na wala hatoi suluhisho la mapungufu ya serikali yake anataka huruma ya wananchi eti kisa kudumisha amani iliozeeka na isio na tija kwa watanganyika wengi masikini, kashindwa kuongelea swala la dowans na ufisadi mkubwa wa serikali yake na mwisho anawalaumu Chadema, mnafiki mkubwa yeye na wenxzake akina mramba na chenge na wale magabachori pamoja rostam abdul rasul Aziz ndio wanaoifaidi nchi yetu ilio tukuka. kamwe hawezi etna kunidanganya najua aliiba kura na pia wananchi hatumtaki, na kiama chake kitakua kama cha mubaraka na gaddafi.
 
Ahsante Invisible . Tumeshaisoma hivyo hana haja ya kukaaa kwenye mikamera kutusomea tena huu upupu. Eti watu watakufa. Aliyemwambia Icc iko mbali ni nani?
 
Hivi kwa nini asingetoa hata fursa kwa wale makameraman na wahariri wanaokuwepo wakati anabwabwaja wakamuulizavijiswali hata vya kumwezesha kukidhi kiu ya watz badala ya huu mfumo wake wa kiimla anasema amemaliza chapeni lapa .
Wananchi kilio chetu cha malipo ya dowans na atueleze mazungumzo ya serikali yake na mwarabu yalifanyikaje wakati alishasema hamjui ina maana alionana na viongozi bila appointment?
Njaa kauli hakuna mtz atakufa njaa tumeizoea huwa inatamkwa na wanakufa vilevile na hakutolewi maelezo yaliyotulia
any way acha niendelee kuangalia mbele mkwere kaaaaaaaaazi kweli kweli
 
Usalama wa taifa jamani......
Uchumi umekuwaje vile ...
Chadema ni kweli wanataka kupora madaraka???

I GOT THE FEELINGS THAT OUR PRES IS APPREHENSIVE AT WHAT IS HAPPENING TO RULERS WHO DOESN'T DELIVER.
kumbe umeona
 
Mh President, hajagusia suala la elimu kabisa!! mwelekeo wa maisha ya watanzania yaani namna ya kupunguza mfumko wa bei, anyway labda ndo style.
sawal la elimu yeye halina priority kabisa
kuna migom ya wanafunzi kila leo hayo pia hayana priorities kwake
ila bora ameelewa kuwa kuna nguvu ya umma
 
Huna matatizo hata kidogo ila hutaki kujipa magonjwa ya moyo.
Mimi sitaki kumwona JK akiongea live au recorded huwa nasoma upupu wake kwenye magazeti tena nikiwa nimefunika picha yake kwa mkono.
Jamaa anawatesa sana masikini na vitoto vyetu.
du wewe ni koboko aisee
 
nilishasahau kumbe bado huwa anahutubia? the chap has guts na ni kwa nini he normally refers to Mzee Nyerere not baba wa taifa?
 
Naona sasa JK anaweweseka na kuruka ruka kama kunguru. Amegeuza Magogoni mahala pa kupiga story na kuwaalika wapiga ramli na kamali pamoja na biashara za mfukoni anafikiri atapona. Amegeuza mwelekeo kufikiri wote ni mazezeta kutoka msoga.

Moto wa mageuzi ulioanzia Tunisia hauwezi kuzimwa na mafisadi koko kutoka Msoga au Monduli.
 
Back
Top Bottom