@Mkandara
Mkuu wangu katika majibu yako yote, naomba ibara au kifungu cha sheria kinayoruhusu uliyoyasema. Ni wapi kwenye katiba imeandikwa serikali haitashirikiana na taasisi yoyote katika kutoa huduma kwa wananchi wake? Hivi Bugando ni kanisani? Au kwenye visima vya maji ni sehemu za ubatizo?
Halafu unazungumzia mambo ya Sadaka, hivi wewe kinachofanyika kanisani ndio unataka kifanyike Msikitini?.. why not?. if it works kanisani why not try msikitini? Ni dhambi? Na kumbuka pamoja na kuwa na MOU sio kwamba hizo taasisi hazina gharama nyingine. Serikali inachangia sehemu tu kama ilivyo kwenye ruzuku za mbolea etc. Hivyo kanisa linagharamia uendeshaji. Nyie kwenye mahakama ya kadhi mlikuwa mna-propose 100% funding au less? sijawelewa MOU yenu kwenye mahakama mlitaka ikaaje.
sadaka zetu zinakwenda kwa maskini watu wasiojiweza na sio kuendesha shule na zahanati, mkuu kila dini ina mpango wake haya ni maswala ya kiroho.. how convinient? Na maskini wa ki-kristo wanasadiwa na nani? Let me tell you something, ukitaka kumsaidia mtu unampa uwezo wa kuvua samaka na sio samaki. Ukupe ni janga la Africa nzima let alone Tanzania. Na ndio sababu bara hili limekumbwa na hii fedheha ya Libya. NATO, Qartar, UAE are doing their things Africa wamebaki kulalamika na kuchunguza bendera. Back to the topic, kama kweli mnatumia sadaka kusaidi maskini bila kuwejengea uwezo i.e. elimu then mnaanda janga ya kitafa. I hope ulikuwa unatania
Mimi siwezi kukuuliza wewe mshahara wako unakwenda wapi - Sijaulizi mambo binafsi hapa nauliza 'institutional development' Huwezi kuendesha kitu kama mahakama kwa misaada kwa sababu mahaka sio shughuli ya siku moja. Kanisani kwangu kila jumapili mwenyekiti (sio mchungaji) anasimama na kusoma michango yote ya week pamoja na sadaka, matumizi, na balance! every damn sunday!. Siwezi kukuambia msururu wa michango tuliyonayo kwenye jumuiya kwa ajili ya kusadia (a) wasiojiweza (b)kujenga/kuendeleza seminari (c) majengo ya kanisa na matumizi mengine. Sasa hivi tuna matembezi ya hiari tunachanga kujenga ukumbi wa sherehe ili tukudishe (sio ruzuku).
Mkandara maadam unaonekana kujuwa dini ya uislama vizuri naomba unielimishe, ni dhambi msikiti au Bakwata kubuni mradi utakaoengeza kipato? Kwa mfano Bakwata wakaamua kujenga hospotali then wakapata ruzuku na huku wagonjwa wakawa wanalipa? Hii inaruhusiwa?
Kwani wewe mipango yako iwe sawa na yangu kwa sababu tu sote ni binadamu au mimi nimefanikiwa ktk swala fulani basi lazima nawe ufuate yangu!.. mbona mnachosha wakuu zangu ktk kufikiria kwenu. Kinachochosha watu Mkandara ni kutokuelewana kuhusu equal opportunity. Katika halio ya kawais=da mzazi huwezi kumpa mtoto mmoja ubwabwa na nyama ya kuku na mwingine chips mayai. Wakristo wana MOU na serikali kwenye hospital, shule etc. Waislam wameambiwa na Rais wa nchi kwamba hii OFA haiko tu kwa wakristo, wanachotakiwa ni kupeleka maombi yao na mambo yatakuwa safi tu. Lakini kumbuka MENU ni moja. Kama ni ubwawa na kuku ni wote, na kama ni chips mayai ni wote.
Mkuu wangu katika majibu yako yote, naomba ibara au kifungu cha sheria kinayoruhusu uliyoyasema. Ni wapi kwenye katiba imeandikwa serikali haitashirikiana na taasisi yoyote katika kutoa huduma kwa wananchi wake? Hivi Bugando ni kanisani? Au kwenye visima vya maji ni sehemu za ubatizo?
Halafu unazungumzia mambo ya Sadaka, hivi wewe kinachofanyika kanisani ndio unataka kifanyike Msikitini?.. why not?. if it works kanisani why not try msikitini? Ni dhambi? Na kumbuka pamoja na kuwa na MOU sio kwamba hizo taasisi hazina gharama nyingine. Serikali inachangia sehemu tu kama ilivyo kwenye ruzuku za mbolea etc. Hivyo kanisa linagharamia uendeshaji. Nyie kwenye mahakama ya kadhi mlikuwa mna-propose 100% funding au less? sijawelewa MOU yenu kwenye mahakama mlitaka ikaaje.
sadaka zetu zinakwenda kwa maskini watu wasiojiweza na sio kuendesha shule na zahanati, mkuu kila dini ina mpango wake haya ni maswala ya kiroho.. how convinient? Na maskini wa ki-kristo wanasadiwa na nani? Let me tell you something, ukitaka kumsaidia mtu unampa uwezo wa kuvua samaka na sio samaki. Ukupe ni janga la Africa nzima let alone Tanzania. Na ndio sababu bara hili limekumbwa na hii fedheha ya Libya. NATO, Qartar, UAE are doing their things Africa wamebaki kulalamika na kuchunguza bendera. Back to the topic, kama kweli mnatumia sadaka kusaidi maskini bila kuwejengea uwezo i.e. elimu then mnaanda janga ya kitafa. I hope ulikuwa unatania
Mimi siwezi kukuuliza wewe mshahara wako unakwenda wapi - Sijaulizi mambo binafsi hapa nauliza 'institutional development' Huwezi kuendesha kitu kama mahakama kwa misaada kwa sababu mahaka sio shughuli ya siku moja. Kanisani kwangu kila jumapili mwenyekiti (sio mchungaji) anasimama na kusoma michango yote ya week pamoja na sadaka, matumizi, na balance! every damn sunday!. Siwezi kukuambia msururu wa michango tuliyonayo kwenye jumuiya kwa ajili ya kusadia (a) wasiojiweza (b)kujenga/kuendeleza seminari (c) majengo ya kanisa na matumizi mengine. Sasa hivi tuna matembezi ya hiari tunachanga kujenga ukumbi wa sherehe ili tukudishe (sio ruzuku).
Mkandara maadam unaonekana kujuwa dini ya uislama vizuri naomba unielimishe, ni dhambi msikiti au Bakwata kubuni mradi utakaoengeza kipato? Kwa mfano Bakwata wakaamua kujenga hospotali then wakapata ruzuku na huku wagonjwa wakawa wanalipa? Hii inaruhusiwa?
Kwani wewe mipango yako iwe sawa na yangu kwa sababu tu sote ni binadamu au mimi nimefanikiwa ktk swala fulani basi lazima nawe ufuate yangu!.. mbona mnachosha wakuu zangu ktk kufikiria kwenu. Kinachochosha watu Mkandara ni kutokuelewana kuhusu equal opportunity. Katika halio ya kawais=da mzazi huwezi kumpa mtoto mmoja ubwabwa na nyama ya kuku na mwingine chips mayai. Wakristo wana MOU na serikali kwenye hospital, shule etc. Waislam wameambiwa na Rais wa nchi kwamba hii OFA haiko tu kwa wakristo, wanachotakiwa ni kupeleka maombi yao na mambo yatakuwa safi tu. Lakini kumbuka MENU ni moja. Kama ni ubwawa na kuku ni wote, na kama ni chips mayai ni wote.