Hotuba ile ya JK juzi kule Dom ni kati hotuba nzuri kabisa alizowahi kutoa kama Rais wa NCHI, wa WATANZANIA wote. Imesimamia KATIBA ya JMT kwa masuala ya DINI na KUABUDU. Hastahili kupongezwa sana kwa hili kwani ni wajibu wake kama Rais kuilinda na kuitetea KATIBA hii. Ameapa kuifanya kazi hii.