Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,320
- 7,154
Mkuu habari ya siku nyingi?Utaonaje mantiki wakati hujui kiingereza na umejaa chuki?
#Mama 2025
Mkuu habari ya siku nyingi?Utaonaje mantiki wakati hujui kiingereza na umejaa chuki?
Wewe ndo umesikia Corona tu! Sie tumesikia uchumi, tumesikia climate change na tumesikia democrasia na ushirikianoHotuba imejaa corona tu, aisee tumepigwa tena
Ndio tunawezaSISI TUNAWEZA TENGENEZA CHANJO? SISI?
Nzuri Mkuu!Mkuu habari ya siku nyingi?
#Mama 2025
Hebu ongea hicho cha kwako ulichojifunza wakati unakunywa chimpumu tandale kwa mfuga mbwa......Utaonaje mantiki wakati hujui kiingereza na umejaa chuki?
Kwani hata umemsikiliza, wewe si umeambiwa tu leo anaongeaHatujamsikia akikosea
Haipingwi hiyo Mkuu.Nzuri Mkuu!
Tunasema Mama hadi 2030
Hebu ongea hicho cha kwako ulichojifunza wakati unakunywa chimpumu tandale kwa mfuga mbwa......
Kwani hata umemsikiliza, wewe si umeambiwa tu leo anaongea
Weka hapa park ipi imeongeza fees acha tantalilaDo your research young man. Hii kupenda kutafuniwa kila kitu ndo maana mnajikuta mnaongea pumba mitandaoni
Sijaelewa Hotuba Yake imebeba Falsafa gani kwa Ujumla? Sijasikia Tanzania ikiwasilishwa hapo kifikra zaidi ya mambo ya uwiano wa kijinsia na Corona! Hivi kweli Covid imetupiga sana Watanzania kulinganisha na hao Wazungu?Unahoji kiingereza changu, sikiliza chake Multilateralism anasema Multilateralilism.
Sasa kuna kiingereza gani kimeongelewa hapo? kiingereza unakijua! wakati mwingine bora kukaa kimya tu.......Niongee wapi sasa! Kajifunze kiingereza! Ndo mana mlikuwa mnakimbia mikutano ya kimataifa eti kubana matumizi wakati kumbe hamjui kiingereza! Washamba nyie
Unaelewa kiingereza kwanza? Tuanzie hapo?😂Sijaelewa Hotuba Yake imebeba Falsafa gani kwa Ujumla? Sijasikia Tanzania ikiwasilishwa hapo kifikra zaidi ya mambo ya uwino wa kijinsia na Corona! Hivi kweli Covid imetupiga sana Watanzania kulinganisha na hao Wazungu?
Bora uongee Lugha unayoijua kuliko kulazimisha Lugha za watu ili uonekane. Watu walimcheka Magufuli lakini bora hakuwa mnafiki. Huyu anajifanya anakifahamu Kiingereza lakini kutunga Sentensi kichwani na kuitoa bila kuangalia mahali Ni mtihaniMtu anaangalia muda wote eneo moja hata shingo hazungushi, mahaba mengine taabu sana.
Mama hawezi toa hotuba bila kusoma, never
Mbona kaongea kiingereza Safi kabisa! We shida yako nini?S
Bora uongee Lugha unayoijua kuliko kulazimisha Lugha za watu ili uonekane. Watu walimcheka Magufuli lakini bora hakuwa mnafiki. Huyu anajifanya anakifahamu Kiingereza lakini kutunga Sentensi kichwani na kuitoa bila kuangalia mahali Ni mtihani
Alipohamasisha maandamano kumpinga Magufuli ..yes. Lakini sasa karudi nyumbani ccmUkampokee. Si mnamwitaga dada wa taifa?
Bora umeongea mkuu maana wazee wa mapambio ni mapovu tu yanawatoka, hana fluency yoyote wala misamiati ambayo inaweza kuaminisha watu kwamba ana master hiyo lugha.......S
Bora uongee Lugha unayoijua kuliko kulazimisha Lugha za watu ili uonekane. Watu walimcheka Magufuli lakini bora hakuwa mnafiki. Huyu anajifanya anakifahamu Kiingereza lakini kutunga Sentensi kichwani na kuitoa bila kuangalia mahali Ni mtihani