Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwenye Baraza la Umoja wa Mataifa (UN) - Septemba 23, 2021

Rais hajui hata kuact yaani anasoma anaonekana kabisa licha ya kuwekewa yale maandishi ya kisasa...
Obama alikua anasoma nae ila huwezi amini anasoma...
 
Kongole Madam President,umetoa hotuba nzito,mzuri na ume flow vizuri Sana (ung'eng'e).Kweli wewe ni mwanadiplomasia,dunia imetusikia madam President big up.
 
Historia gani, ni utaratibu kila Rais huwa anahutubia Hilo Baraza
Nashangaa sielewi history ipi hapa? Mama anahitaji kufanya mazoezi sana huku nyumbani namna ya kutumia screen ya speech kuna viongozi wazoezi wakipanda hapo unaweza kudhani maneno yanatoka kichwani lakini wanasoma ni skills za ku master stage huwezi kushtuka kama wanasoma.

Nadhani ni suala la mazoezi tu tutumie sana hii tech huku kwetu katika hutuba zetu inasaidia kila jambo linataka mazoezi lakini kiujumla sio mbaya japo mambo mengi ya kuandikiwa halafu hayana reality issue sana.

Kama kusema tutachanja 70% wakati juhudi ni ndogo na uhuru wa kisiasa japo ni uwongo pia. anyway UN ni routine ti kibaraza cha soga side meetings ndio target sio speech.
 
Si hamchanji kutokana na ujinga wenu? Unataka awafunge kamba mkachanje? Mama 2025 nampa kura yangu ili kuwakomesha nyie wenye chuki nae zisizo na msingi japo siipendi CCM.
Ccm ni kama maji, usipoyaoga utayanywa
 
Historia gani,ni utaratibu kila Rais huwa anahutubia Hilo Baraza
Tanzania wengi ni wajinga na washabiki maandazi waliofungwa kifikra na kufunguliwa kishabiki bila kuelewa taratibu za kimataifa na mambo kama UNGA.

Ndio maana mchizi huyo huyo aliwahi kusema Tanzania imeweka historia na kupewa heshima baada ya bendera ya UN kupeperushwa nusu mlingoti kufuatia kifo cha JPM bila kujua huyo alikua HoS na ni taratibu za kawaida.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Hamna kituu... Speech lote limejaa COVID.. Au ndo ilikuwa Main Theme ya mkutano..!?

Mabeberu bhana. Yani yanafosi uongee yanachotaka wao....
Umejiona ulivyo mjinga?

Tanzania haijahathilika na mabadiliko ya Tabia nchi?

Zile nyumba, biashara na Masoko zilizomezwa na maji Ziwa Tanganyika, Ziwa Nyasa na Ziwa Victoria unafikiri zimemezwa na nini Kama sio mabadiliko ya Tabia nchi?

Kwa iyo wale wananchi wanaopata tabu kule hawajaathiliwa na mabadiliko ya tabia nchi?

Au haulewi hata maana ya mabadiliko ya tabia nchi kilaza wewe?
 
katika hotuba za hovyo, hotuba za hovyo, ni hii katoa huyu mama leo. yaani utafikiri watoto wa form two wanafanya debate.
Hotuba mbovu, hana confidence, analalamika tu, anajishaua kuwa mwanamke wa kwanza rais Tz huku akimponda Magu kwa gia ya Multilateralism. Eti ana-enhance gender equality kwa kuvunja miiko mingi kuwainua wanawake.
 
Umepewa chanjo milioni 1 mpaka sasa waliochanjwa hawafiki hata laki 3. Alafu unaenda #UNGA kuiambia dunia unataka chanjo nyingine! Seriously!
Amesema UN waondoe hatimiliki kwenye suala la chanjo ili hata nchi zinazoendelea ziweze kujitengenezea chanjo!
Wewe huoni kuwa ni jambo la maana hapo?

Kwani kuchanja watu wachache ndo nchi isifanye maandalizi ya kujiepusha na chanjo?

Kuna tofauti kati ya nchi na familia yako!
 
Hotuba mbovu, hana confidence, analalamika tu, anajishaua kuwa mwanamke wa kwanza rais Tz huku akimponda Magu kwa gia ya Multilateralism. Eti ana-enhance gender equality kwa kuvunja miiko mingi kuwainua wanawake.
Amelalamika nini?

Kwa ujinga wako ndo unaona hana confidence! Sie tumeona confidence anayo na ipo njema tu
 
Our worst fears have been confirmed. That Good Lady is illiterate.
Covid covid covid covid.....Not our case, may be malaria and HIV, she also lied to the World ..." We managed peace, political stability, vibrant democracy " She is empty with wrong misleading team.
 
Back
Top Bottom