MTAU JR
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 216
- 292
Hatakama sina uelewa mpana ila kipindi cha JPM ... nlipo sikia tu Leo jpm anazungumza ..kiukweli huwa na sikiliza na ninapata kitu kipya ... but jana niliambulia sifuriElimu yako ndogo sio raisi hata kuelewa maana halisi ya hotuba inayoakisi tulikotaka.