jimama26
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 2,730
- 2,798
Mama kazingua leounajua sijaamini kabisa,yaani wizara ya elimu kaisamaraizi hatari!
Kwa hii hotuba Watumishi wa Umma tuendelee kukaza mkanda,huyu si yeye!
TUMECHOKA maneno Sasa tunataka MATENDO.
Anaongea vitu hata havifanyiki!!!
Mama anafanya siasa Mipasho.
kwa kweli. Mipango na maongezi ni mengi sana. Wengi hatuna uhakika wa utekelezaji wa mambo yote hayo. Nahisi pia anapenda makofi, kama ni hivi pana shida hapa. Zitakuwa zinatafutwa hotuba tu za kuhakikisha kuna makofi kutoka kwa audience baaasi!!