Hotuba ya Rais Magufuli yawa "Lulu" duniani kote, Wachina na Wahindi wataka itafsiriwe kwa lugha za mataifa yao

China walipima mbwa na paka!
Wametengeneza then wafanya trials.hiyo ni normal scientific procedures,sisi either tumenunua na tumepewa msaada then after some days na pesa tumeshalipa ndo tunafanya trials- kweli serikali haipati hassara
 
Umemsoma Pascal Mayalla kuhusu wananchi wa Mombasa kumlilia Magufuli?
Pachal yuko mombasa? Umewasikia wananchi wa Kongo wanavyotucheka watz namna tulivyomuacha rais anavyochezea akili za watz kwnye janga la Corona alafu tumekaa kimya km tumemwagiwa maji?
 
Tanzania tunazidi kuonekana kichwa cha mwendawazimu, kufanyia test mapapai yakakutwa positive kuna athari kubwa mbele ya safari.

Wengi wataugulia majumbani wakiamini Corona ni ugonjwa wa kawaida, wataambukiza wengi zaidi, na watakufa wengi pia.

Nchi zote duniani zinakabiliana na hili janga scientifically, nchi zote zimepoteza watu wake, but sisi bado hatujawa tayari kukubaliana na huu ukweli, kila siku tunadanganyana kwa kutafuta sababu nyepesi kulazimisha Corona ionekane sio tatizo, ulimwengu wote lazima utushangae.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mwisho wa mwisho, Mapapai na nyama toka tanzania vitafungiwa kuingia katika masoko ya nchi nyingine yakiaminiwa kuwa yana korona
 
Back
Top Bottom