Hotuba ya Rais Magufuli yawa "Lulu" duniani kote, Wachina na Wahindi wataka itafsiriwe kwa lugha za mataifa yao

Hivi ndivyo unasema wenzetu duniani walivyo na hamu na hotuba ya Magufuli? MATAGA sasa mmeamua kumkejeli.
IMG_20200504_094621.jpg
Screenshot_20200504-094713.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ninayoyashuhudia kwenye mitandao ikiwa ni comments ya wana Afrika mashariki walioko sehemu tofauti tofauti duniani yanaiingiza Tanzania katika historia mpya.

Kwanza watu wengi wamefuatilia hotuba ya Rais Magufuli iliyorekodiwa na kuwekwa mitandaoni. Na wengi wameusifu utafiti uliofanywa na timu ya Dr Magufuli. Baadhi ya watu kutoka China na India wameomba hotuba hiyo itafsiriwe kwa lugha za mataifa yao ili ikawanufaishe watu wengi zaidi katika nchi zao.

Mjini Mombasa, Kenya hotuba hiyo ya Rais Magufuli imezuwa gumzo kubwa na wengi wamekubaliana na Rais Magufuli juu ya wasiwasi wa ubora wa vifaa. Mombasa wanaingia katika zoezi la mass testing lakini wananchi wanataka waelimishwe zaidi kabla ya kupimwa.

Maendeleo hayana vyama!
Kweli ujinga mzigo, wewe umewezaje kujua kihindi mpaka ukajua wanaomba watafasiriwe kwa kihindi? Kwahiyo umepigiwa simu au hao Wahindi walikuja nyumbani kwako kukuomba utafasiri hiyo hotuba? Yani unaandika kama unamsimulia mkeo kibalazani. Weka source hapo!!
 
Kweli ujinga mzigo, wewe umewezaje kujua kihindi mpaka ukajua wanaomba watafasiriwe kwa kihindi? Kwahiyo umepigiwa simu au hao Wahindi walikuja nyumbani kwako kukuomba utafasiri hiyo hotuba? Yani unaandika kama unamsimulia mkeo kibalazani. Weka source hapo!!
Waabudu mwenge uabudu kila waambiwalo
 
Tanzania tunazidi kuonekana kichwa cha mwendawazimu, kufanyia test mapapai yakakutwa positive kuna athari kubwa mbele ya safari.

Wengi wataugulia majumbani wakiamini Corona ni ugonjwa wa kawaida, wataambukiza wengi zaidi, na watakufa wengi pia.

Nchi zote duniani zinakabiliana na hili janga scientifically, nchi zote zimepoteza watu wake, but sisi bado hatujawa tayari kukubaliana na huu ukweli, kila siku tunadanganyana kwa kutafuta sababu nyepesi kulazimisha Corona ionekane sio tatizo, ulimwengu wote lazima utushangae.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka uambiwe na nchi za magharibi kuwa hata miti ya ashock ina corona ndio utaamini.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ninayoyashuhudia kwenye mitandao ikiwa ni comments ya wana Afrika mashariki walioko sehemu tofauti tofauti duniani yanaiingiza Tanzania katika historia mpya.

Kwanza watu wengi wamefuatilia hotuba ya Rais Magufuli iliyorekodiwa na kuwekwa mitandaoni. Na wengi wameusifu utafiti uliofanywa na timu ya Dr Magufuli. Baadhi ya watu kutoka China na India wameomba hotuba hiyo itafsiriwe kwa lugha za mataifa yao ili ikawanufaishe watu wengi zaidi katika nchi zao.

Mjini Mombasa, Kenya hotuba hiyo ya Rais Magufuli imezuwa gumzo kubwa na wengi wamekubaliana na Rais Magufuli juu ya wasiwasi wa ubora wa vifaa. Mombasa wanaingia katika zoezi la mass testing lakini wananchi wanataka waelimishwe zaidi kabla ya kupimwa.

Maendeleo hayana vyama!

Naunga mkono hoja tutafisiri kwa lugha zote za mabeberu.
 
Duh! Hii kama si Lumumba, basi watanzania tumekwisha! Kupima mapapai na mafenesi na kuyakuta na korona kunaifanya hotuba kuwa lulu? Nilidhani Tanzania tunao wanasayansi wa kusaidia hapa. Shame on us!
 
Uelewa wako inaonekana una walakini, yeye kafanya hivyo sio kuonyesha kwamba papai lina corona lakini kuangalia
1. Reliability of the testing procedure
2. Reliability of the instruments used for testing
3.any other products / produce which can reflect that one has corona while it is not.
watu wengi hawatak kutuliza ubongo hata sec 60 kumwelewa rais, ushabiki umedumaza akili. hajasema corona haipo ndo mana anahimiza tujikinge. hoja muhim ni kwanin sample zisizo za watu zimetoa matokeo yasiyotarajiwa kama positive na negative! ndo hapo inaanzia taadhar ya vifaa na utaalam na wataalam. njia alotumia kujenga walakin ni ya kawaida sana tu. ukikataa hili upimwe akili. manake huamin kuwa mabeberu wengine wako kibiashara. tujikumbushe condom milion 2 zilizokamatwa bandarin zina tayar virus vya ukimwi. bas tu mi nalaum dini za kuletewa kila tukipatwa na majanga tunajisemea ni mapenz ya Mungu tu! tunasahau sisi tunajua fitina changa hasa za kisiasa na ndoa, wao wanafanya fitina zilizokomaa za kiuchumi
 
Tanzania tunazidi kuonekana kichwa cha mwendawazimu, kufanyia test mapapai yakakutwa positive kuna athari kubwa mbele ya safari.

Wengi wataugulia majumbani wakiamini Corona ni ugonjwa wa kawaida, wataambukiza wengi zaidi, na watakufa wengi pia.

Nchi zote duniani zinakabiliana na hili janga scientifically, nchi zote zimepoteza watu wake, but sisi bado hatujawa tayari kukubaliana na huu ukweli, kila siku tunadanganyana kwa kutafuta sababu nyepesi kulazimisha Corona ionekane sio tatizo, ulimwengu wote lazima utushangae.

Sent using Jamii Forums mobile app
FYI huu ugonjwa upo na unajulikana tangu 1966 bali ulikuwa bado kumwandama mwanadamu angalia facts zako kabla ya kubwabwaja.
 
Tanzania tunazidi kuonekana kichwa cha mwendawazimu, kufanyia test mapapai yakakutwa positive kuna athari kubwa mbele ya safari.

Wengi wataugulia majumbani wakiamini Corona ni ugonjwa wa kawaida, wataambukiza wengi zaidi, na watakufa wengi pia.

Nchi zote duniani zinakabiliana na hili janga scientifically, nchi zote zimepoteza watu wake, but sisi bado hatujawa tayari kukubaliana na huu ukweli, kila siku tunadanganyana kwa kutafuta sababu nyepesi kulazimisha Corona ionekane sio tatizo, ulimwengu wote lazima utushangae.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye red,
sio "nchi zote" sema "nchi nyingi".
Kuna baadhi ya nchi (sikumbuki idadi nadhani ni nchi 6) hazijaripoti maambukizi yoyote hadi leo
 
Tanzania tunazidi kuonekana kichwa cha mwendawazimu, kufanyia test mapapai yakakutwa positive kuna athari kubwa mbele ya safari.

Wengi wataugulia majumbani wakiamini Corona ni ugonjwa wa kawaida, wataambukiza wengi zaidi, na watakufa wengi pia.

Nchi zote duniani zinakabiliana na hili janga scientifically, nchi zote zimepoteza watu wake, but sisi bado hatujawa tayari kukubaliana na huu ukweli, kila siku tunadanganyana kwa kutafuta sababu nyepesi kulazimisha Corona ionekane sio tatizo, ulimwengu wote lazima utushangae.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna zile net za kutukinga dhidi ya Malaria ziligeuka kuwa nyavu za kuzuia kuzuia bustani zetu za mboga zisiharibiwe na kuku.
 
Kweli ujinga mzigo, wewe umewezaje kujua kihindi mpaka ukajua wanaomba watafasiriwe kwa kihindi? Kwahiyo umepigiwa simu au hao Wahindi walikuja nyumbani kwako kukuomba utafasiri hiyo hotuba? Yani unaandika kama unamsimulia mkeo kibalazani. Weka source hapo!!
Umeshapanic bwashee!
 

Similar Discussions

31 Reactions
Reply
Back
Top Bottom