Mawawa
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,570
- 5,076
🤣🤣🤣Magufuli ni Rais. Bora Duniani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Magufuli ni Rais. Bora Duniani
Kweli ujinga mzigo, wewe umewezaje kujua kihindi mpaka ukajua wanaomba watafasiriwe kwa kihindi? Kwahiyo umepigiwa simu au hao Wahindi walikuja nyumbani kwako kukuomba utafasiri hiyo hotuba? Yani unaandika kama unamsimulia mkeo kibalazani. Weka source hapo!!Haya ninayoyashuhudia kwenye mitandao ikiwa ni comments ya wana Afrika mashariki walioko sehemu tofauti tofauti duniani yanaiingiza Tanzania katika historia mpya.
Kwanza watu wengi wamefuatilia hotuba ya Rais Magufuli iliyorekodiwa na kuwekwa mitandaoni. Na wengi wameusifu utafiti uliofanywa na timu ya Dr Magufuli. Baadhi ya watu kutoka China na India wameomba hotuba hiyo itafsiriwe kwa lugha za mataifa yao ili ikawanufaishe watu wengi zaidi katika nchi zao.
Mjini Mombasa, Kenya hotuba hiyo ya Rais Magufuli imezuwa gumzo kubwa na wengi wamekubaliana na Rais Magufuli juu ya wasiwasi wa ubora wa vifaa. Mombasa wanaingia katika zoezi la mass testing lakini wananchi wanataka waelimishwe zaidi kabla ya kupimwa.
Maendeleo hayana vyama!
Waabudu mwenge uabudu kila waambiwaloKweli ujinga mzigo, wewe umewezaje kujua kihindi mpaka ukajua wanaomba watafasiriwe kwa kihindi? Kwahiyo umepigiwa simu au hao Wahindi walikuja nyumbani kwako kukuomba utafasiri hiyo hotuba? Yani unaandika kama unamsimulia mkeo kibalazani. Weka source hapo!!
Mpaka uambiwe na nchi za magharibi kuwa hata miti ya ashock ina corona ndio utaamini.?Tanzania tunazidi kuonekana kichwa cha mwendawazimu, kufanyia test mapapai yakakutwa positive kuna athari kubwa mbele ya safari.
Wengi wataugulia majumbani wakiamini Corona ni ugonjwa wa kawaida, wataambukiza wengi zaidi, na watakufa wengi pia.
Nchi zote duniani zinakabiliana na hili janga scientifically, nchi zote zimepoteza watu wake, but sisi bado hatujawa tayari kukubaliana na huu ukweli, kila siku tunadanganyana kwa kutafuta sababu nyepesi kulazimisha Corona ionekane sio tatizo, ulimwengu wote lazima utushangae.
Sent using Jamii Forums mobile app
hayo mabega yaooo wayaunge kwanza wapate Amani,,,ndo wazumgumzeKutoka Palestine na Iran wanasema watakuwa begabega na Magufuli km Mabeberu yataleta janja janja
Haya ninayoyashuhudia kwenye mitandao ikiwa ni comments ya wana Afrika mashariki walioko sehemu tofauti tofauti duniani yanaiingiza Tanzania katika historia mpya.
Kwanza watu wengi wamefuatilia hotuba ya Rais Magufuli iliyorekodiwa na kuwekwa mitandaoni. Na wengi wameusifu utafiti uliofanywa na timu ya Dr Magufuli. Baadhi ya watu kutoka China na India wameomba hotuba hiyo itafsiriwe kwa lugha za mataifa yao ili ikawanufaishe watu wengi zaidi katika nchi zao.
Mjini Mombasa, Kenya hotuba hiyo ya Rais Magufuli imezuwa gumzo kubwa na wengi wamekubaliana na Rais Magufuli juu ya wasiwasi wa ubora wa vifaa. Mombasa wanaingia katika zoezi la mass testing lakini wananchi wanataka waelimishwe zaidi kabla ya kupimwa.
Maendeleo hayana vyama!
watu wengi hawatak kutuliza ubongo hata sec 60 kumwelewa rais, ushabiki umedumaza akili. hajasema corona haipo ndo mana anahimiza tujikinge. hoja muhim ni kwanin sample zisizo za watu zimetoa matokeo yasiyotarajiwa kama positive na negative! ndo hapo inaanzia taadhar ya vifaa na utaalam na wataalam. njia alotumia kujenga walakin ni ya kawaida sana tu. ukikataa hili upimwe akili. manake huamin kuwa mabeberu wengine wako kibiashara. tujikumbushe condom milion 2 zilizokamatwa bandarin zina tayar virus vya ukimwi. bas tu mi nalaum dini za kuletewa kila tukipatwa na majanga tunajisemea ni mapenz ya Mungu tu! tunasahau sisi tunajua fitina changa hasa za kisiasa na ndoa, wao wanafanya fitina zilizokomaa za kiuchumiUelewa wako inaonekana una walakini, yeye kafanya hivyo sio kuonyesha kwamba papai lina corona lakini kuangalia
1. Reliability of the testing procedure
2. Reliability of the instruments used for testing
3.any other products / produce which can reflect that one has corona while it is not.
Mwambie aje DarMagufuli ni Rais. Bora Duniani
Moscow ya kinondoni?Nipo apa Moscow wananchi wananunua CD za hiyo hotuba kwa shilingi elfu 50000 pesa za kitanzania.
Ila nasikia ata USA wapo wanaitasfiri ili Trump akaongee maneno ayo ayo.
FYI huu ugonjwa upo na unajulikana tangu 1966 bali ulikuwa bado kumwandama mwanadamu angalia facts zako kabla ya kubwabwaja.Tanzania tunazidi kuonekana kichwa cha mwendawazimu, kufanyia test mapapai yakakutwa positive kuna athari kubwa mbele ya safari.
Wengi wataugulia majumbani wakiamini Corona ni ugonjwa wa kawaida, wataambukiza wengi zaidi, na watakufa wengi pia.
Nchi zote duniani zinakabiliana na hili janga scientifically, nchi zote zimepoteza watu wake, but sisi bado hatujawa tayari kukubaliana na huu ukweli, kila siku tunadanganyana kwa kutafuta sababu nyepesi kulazimisha Corona ionekane sio tatizo, ulimwengu wote lazima utushangae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nadhani account yake imeikuwa hacked.Kwakweli kwenye swala la porojo umeiva. Hebu tuache bhana
Hapo kwenye red,Tanzania tunazidi kuonekana kichwa cha mwendawazimu, kufanyia test mapapai yakakutwa positive kuna athari kubwa mbele ya safari.
Wengi wataugulia majumbani wakiamini Corona ni ugonjwa wa kawaida, wataambukiza wengi zaidi, na watakufa wengi pia.
Nchi zote duniani zinakabiliana na hili janga scientifically, nchi zote zimepoteza watu wake, but sisi bado hatujawa tayari kukubaliana na huu ukweli, kila siku tunadanganyana kwa kutafuta sababu nyepesi kulazimisha Corona ionekane sio tatizo, ulimwengu wote lazima utushangae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna zile net za kutukinga dhidi ya Malaria ziligeuka kuwa nyavu za kuzuia kuzuia bustani zetu za mboga zisiharibiwe na kuku.Tanzania tunazidi kuonekana kichwa cha mwendawazimu, kufanyia test mapapai yakakutwa positive kuna athari kubwa mbele ya safari.
Wengi wataugulia majumbani wakiamini Corona ni ugonjwa wa kawaida, wataambukiza wengi zaidi, na watakufa wengi pia.
Nchi zote duniani zinakabiliana na hili janga scientifically, nchi zote zimepoteza watu wake, but sisi bado hatujawa tayari kukubaliana na huu ukweli, kila siku tunadanganyana kwa kutafuta sababu nyepesi kulazimisha Corona ionekane sio tatizo, ulimwengu wote lazima utushangae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshapanic bwashee!Kweli ujinga mzigo, wewe umewezaje kujua kihindi mpaka ukajua wanaomba watafasiriwe kwa kihindi? Kwahiyo umepigiwa simu au hao Wahindi walikuja nyumbani kwako kukuomba utafasiri hiyo hotuba? Yani unaandika kama unamsimulia mkeo kibalazani. Weka source hapo!!