Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
- Thread starter
- #381
RitzUnashangaa JK kujadili watu haushangai kina Obama, Bush, kumjadili Mugabe, kwenye hotuba zao.
Eti unataka, wewe nani mpaka utake kumpangia rais cha kuongea.
Hotuba ya rais Kikwete ni hotuba bora kabisa.
Punguza kiherehere na kudandia mambo yasiyokuhusu mwisho utaelekea kizani.
Nilikuwa namjibu ndugu yako ZeMarcopolo kwahiyo yeye ndio anajua tumetoka wapi hadi nikamjibu hivi. Sasa wewe unadandia treni kwa mbele na kiherehere chako.
Last edited by a moderator: