Maxence Melo
JF Founder
- Feb 10, 2006
- 4,230
- 13,415
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, jioni ya leo, Ijumaa, Desemba 31, 2010, atatoa salamu maalum za Mwaka Mpya kwa wananchi.
Rais Kikwete atatoa salamu hizo kupitia hotuba yake kwa taifa ambayo ataitoa kwa njia ya redio na televisheni.
Katika salamu hizo, Rais Kikwete anatarajia kuzungumza masuala mbali mbali kuhusu matukio makubwa ya mwaka huu na mengine muhimu yaliyojitokeza katika jamii ya Tanzania katika miezi 12 iliyopita.
Taarifa hizi ni kwa mujibu wa kurugenzi ya mawasiliano Ikulu
IFUATILIE HAPA - http://bit.ly/h5T3k5
Rais Kikwete atatoa salamu hizo kupitia hotuba yake kwa taifa ambayo ataitoa kwa njia ya redio na televisheni.
Katika salamu hizo, Rais Kikwete anatarajia kuzungumza masuala mbali mbali kuhusu matukio makubwa ya mwaka huu na mengine muhimu yaliyojitokeza katika jamii ya Tanzania katika miezi 12 iliyopita.
Taarifa hizi ni kwa mujibu wa kurugenzi ya mawasiliano Ikulu
IFUATILIE HAPA - http://bit.ly/h5T3k5