Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,804
- 1,866
[FONT=AHIFFO+Tahoma]Pimeni wenyewe ilani ilichosema na utekelezaji anaojisifia nao![/FONT]
Kilimo ni sifuri. Hakuna kilichofanyika, kwani hata mbolea tunategemea nje. Na tukipapata hapa ndio uchumi wa taifa utakua.
Ni kweli viwanda ndio vinavyokuza uchumi kwa kasi, lakini leo wakati 65% ya waTZ wanaishi vijijini na kutegemea kilimo kama ajira, ni dhahiri kuwa ukiimarisha huko utajumuisha 65% ya waTZ katika uchumi.
Isitoshe hata kilimo kinahitaji viwanda katika kupata Pembejeo, usindikaji n.k.