tikotiko
Member
- Jul 9, 2010
- 26
- 0
Nyepesi nyepesi zilizonifikia ni kwamba JK ameamua kutoa USD 50,000,000 (za serikali, si zake) ili kununua MASTERING STUDI baada ya kushauriwa kwamba eti wanamuziki wa Bongo Flava wamekosa studio ya aina hiyo??.
NI KWLEI SERIKALI IMETOA DOLLAR MILIONI HAMSINI KUNUNUA STUDIO HIYO??
Tumeliwa au tumelamba dume?
NI KWLEI SERIKALI IMETOA DOLLAR MILIONI HAMSINI KUNUNUA STUDIO HIYO??
Tumeliwa au tumelamba dume?