Hotuba ya Rais jana imethibitisha kuwa wapinzani wameshindwa vita

mzalendo iq1

JF-Expert Member
Mar 10, 2020
1,258
1,541
Habari wana JamiForums,

Rais Magufuli amezidi kuwaonyesha watanzania kuwa yeye ndie one right choice na hana mpinzani.

Jana Mh. Rais Magufuli ameongea mengi sana baadhi ya aliyoongea ni mgogoro wa mipaka yetu na Kenya pamoja na ripoti ya mwenendo wa Corona hapa nchi.

Kwanza nimpongeze Rais Magufuli kwa kuendelea kutoa elimu ambayo itasaidia dunia mzima. Baada ya Rais Magufuli kufanya mambo mengi ya kisayansi huko nyuma ambayo mpaka sasa dunia mzima imekubaliana kuyafuata; jana katoa darasa lingine kwamba binadamu ukimfungia ndani kinga ya mwili inapungua kwaio kufungia watu ndan ni kuwahatarisha zaidi kuliko kuwaacha watoke nje

Pili niwapongeze wapinzani wa Tanzania kwa kumuelewa Rais John Pombe Magufuli maana inafahamika kura Rais hawezi kuongea neno lolote wao wakakaa kimya hata kama lina ukwel kiasi gani, lazima wajaribu kupotosha ila ukweli wa jana naona ulikuwa mzito na mchungu kwao sababu sijaona uzi hata mmoja ya maana juu ya Rais wetu mpendwa.

Ila nahisi jana ilikua aibu kwa watu wengi waliokua wanasema mzee kakimbia; toka jana sijakaona kale ka paka.

Sisi wote humu ndani tujipe muda tu. Nina imani sasa hivi wazungu watakua wanamfatilia Magufuli na kwa kauli yake aliyo sema jana kua ukimfungia mtu ndani unampunguzia kinga ya mwili.

Sishangai dunia mzima kutangaza kufungulia watu watoke nje sababu mwanasayansi pekee mwenye uwezo wa kumaliza hili tatizo ameshatoa muongozo. Nawaomba mtaopinga muache akiba ya maneno maana Magufuli siku zote ameendelea kuwa mshindi.
 
mzalendo iq1,

Inawezekana upo kisiwani kijana, raisi alichokisema amekopy kutoka kwenye video ya madactari wa UK ndio walieleza hiyo wiki mbili zilizopita na video yao ikaenda viral

Hizi sio zama za giza viongozi kuangalia vitu kwenye TV na kuja kuwasimulia wananchi wakijifanya watabiri

Kwanini hakuyasema hayo kabla ya ile video kuanza kuzunguka kwenye social media.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa mpinzani sio kuwa 'pinga pinga'. Ukiona mja yeye ni kupinga mwanzo mwisho basi huyo sio mpinzani
 
Aliangalia wapi kua Corona tutaish nayo?
Inawezekana upo kisiwani kijana, raisi alichokisema amekopy kutoka kwenye video ya madactari wa UK ndio walieleza hiyo wiki mbili zilizopita na video yao ikaenda viral

Hizi sio zama za giza viongozi kuangalia vitu kwenye TV na kuja kuwasimulia wananchi wakijifanya watabiri

Kwanini hakuyasema hayo kabla ya ile video kuanza kuzunguka kwenye social medias

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo vita na corona au na wapinzani.huna akili wewe acha upumbavu na mwambie aache upumbavu vita tunayotaka sisi wananchi ni dhidi ya umaskini,maladhi na ujinga.
Naona hiyo vita imewashinda kwasababu bado mnaujinga mwingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo chadema naona mmeanza kukubali ok mnasema Vita ya umaskin WAKAT magufuli ndie Rais pekee Alie tengeneza ma milionea wengi East Africa au unataka na wewe ue milionea subir kwa wakat wako na endelea kufanya kazi
Hiyo vita na corona au na wapinzani.huna akili wewe acha upumbavu na mwambie aache upumbavu vita tunayotaka sisi wananchi ni dhidi ya umaskini,maladhi na ujinga.
Naona hiyo vita imewashinda kwasababu bado mnaujinga mwingi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wapinzani ni akina nani?
CHADEMA?
Vyama vingine nje ya CCM?
Wananchi wenye mtazamo tofauti na CCM?
Ama viongozi wa CHADEMA?

Jr

Vijana potofu wa chadema ndo wapinzani, maana viongozi wake hufuata mawazo yao.
 
Sawa mmeshinda vita, basi tunaomba mtupe tume huru ya uchaguzi, halafu msitumie vyombo vya dola kuwabeba wakati wa uchaguzi pia ruhusuni uwanja sawa wa siasa ili uone huo ushindi wenu.
 
Alafu mwambien mwenyekit awape Uhuru wa kumuhoji zile B8 zimeenda wapi kwanza kabla ya kulia tume huru
Selasini alishahamia nccr mageuzi, rwakatare alishatangaza kutogombea na ndio maana walikiuka maamuzi ya chama. Leteni hiyo tume huru ili chadema waadhibiwe kwa makosa yao kihalali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom