Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Hayo yooote,na anataka mitandao imsifie na his govt
Kwanini tumsifie wakati kazi aliiomba mwenyewe na ameshindwa kujiwajibisha mwenyewe?Kama tungemuomba awe RAIS wetu labda kidogo ningemuonea huruma.