Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu

Mtoto wa Mkulima

JF-Expert Member
Apr 12, 2007
681
126
Read this very carefully guys and take a close look at yourself and the environment that you live in today

Botha speech 1985

THE FOLLOWING is a speech made by former South African President P.W. Botha to his Cabinet. This reprint was written by David G. Mailu for the Sunday Times, a South African newspaper, dated August 18, 1985.

=========

" Pretoria has been made by the White mind for the White man. We are not obliged even the least to try to prove to anybody and to the Blacks that we are superior people. We have demonstrated that to the Blacks in a thousand and one ways. The Republic of South Africa that we know of today has not been created by wishful thinking. We have created it at the expense of intelligence, sweat and blood.

Were they Afrikaners who tried to eliminate the Australian Aborigines? Are they Afrikaners who discriminate against Blacks and call them Nigge*rs in the States? Were they Afrikaners who started the slave trade? Where is the Black man appreciated? England discriminates against its Black and their "Sus" law is out to discipline the Blacks. Canada, France, Russia, and Japan all play their discrimination too.

Why in the hell then is so much noise made about us? Why are they biased against us? I am simply trying to prove to you all that there is nothing unusual we are doing that the so called civilized worlds are not doing. We are simply an honest people who have come out aloud with a clear philosophy of how we want to live
our own White life.

We do not pretend like other Whites that we like Blacks. The fact that, Blacks look like human beings and act like human beings do not necessarily make them sensible human beings. Hedgehogs are not porcupines and lizards are not crocodiles simply because they look alike. If God wanted us to be equal to the Blacks, he would have created us all of a uniform colour and intellect. But he created us differently: Whites, Blacks, Yellow, Rulers and the ruled.

Intellectually, we are superior to the Blacks; that has been proven beyond any reasonable doubt over the years. I believe that the Afrikaner is an honest, God fearing person, who has demonstrated practically the right way of being. Nevertheless, it is comforting to know that behind the scenes, Europe, America, Canada, Australia-and all others are behind us in spite of what they say. For diplomatic relations, we all know what language should be used and where.

To prove my point, Comrades, does anyone of you know a White country without an investment or interest in South Africa? Who buys our gold? Who buys our diamonds? Who trades with us? Who is helping us develop other nuclear weapon? The very truth is that we are their people and they are our people. It's a big secret. The strength of our economy is backed by America, Britain, Germany. It is our strong conviction, therefore, that the Black is the raw material for the White man.

So Brothers and Sisters, let us join hands together to fight against this Black devil. I appeal to all Afrikaners to come out with any creative means of fighting this war. Surely God cannot forsake his own people whom we are. By now every one of us has seen it practically that the Blacks cannot rule themselves. Give them guns and they will kill each other. They are good in nothing else but making noise, dancing, marrying many wives and indulging in sex. Let us all accept that the Black man is the symbol of poverty, mental inferiority, laziness and emotional incompetence. Isn't it plausible? therefore that the White man is created to rule the Black man? Come to think of what would happen one day if you woke up and on the throne sat a Kaff*ir! Can you imagine what would happen to our women? Does anyone of you believe that the Blacks can rule this country?

Hence, we have good reasons to let them all-the Mandelas-rot in prison, and I think we should be commended for having kept them alive in spite of what we have at hand with which to finish them off. I wish to announce a number of new strategies that should be put to use to destroy this Black bug. We should now make use of the chemical weapon. Priority number one, we should not by all means allow any more increases of the Black population lest we be choked very soon. I have exciting news that our scientists have come with an efficient stuff. I am sending out more researchers to the field to identify as many venues as possible where the chemical weapons could be employed to combat any further population increases. The hospital is a very strategic opening, for example and should be fully utilized. The food supply channel should be used. We have developed excellent slow killing poisons and fertility destroyers. Our only fear is in case such stuff came in! ! to their hands as they are bound to start using it against us if you care to think of the many Blacks working for us in our houses.

However, we are doing the best we can to make sure that the stuff remains strictly in our hands. Secondly, most Blacks are vulnerable to money inducements. I have set aside a special fund to exploit this venue. The old trick of divide and rule is still very valid today. Our experts should work day and night to set the Black man against his fellowman. His inferior sense of morals can be exploited beautifully. And here is a creature that lacks foresight. There is a need for us to combat him in long term projections that he cannot suspect. The average Black does not plan his life beyond a year: that stance, for example, should be exploited. My special department is already working round the clock to come out with a long-term operation blueprint. I am also sending a special request to all Afrikaner mothers to double their birth rate. It may be necessary too to set up a population boom industry by putting up centres where we employ and support fully White young men and women to produce children for the nation. We are also investigating the merit of uterus rentals as a possible means of speeding up the growth of our population through surrogate mothers.

For the time being, we should also engage a higher gear to make sure that Black men are separated from their women and fines imposed upon married wives who bear illegitimate children. I have a committee working on finding better methods of inciting Blacks against each other and encouraging murders among themselves. Murder cases among Blacks should bear very little punishment in order to encourage them.

My scientists have come up with a drug that could be smuggled into their brews to effect slow poisoning results and fertility destruction. Working through drinks and manufacturing of soft drinks geared to the Blacks, could promote the channels of reducing their population. Ours is not a war that we can use the atomic bomb to destroy the Blacks, so we must use our intelligence to affect this. The person-to-person encounter can be very effective.

As the records show that the Black man is dying to go to bed with the White woman, here is our unique opportunity. Our Sex Mercenary Squad should go out and camouflage with Apartheid Fighters while doing their operations quietly administering slow killing poison and fertility destroyers to those Blacks they thus befriend. We are modifying the Sex Mercenary Squad by introducing White men who should go for the militant Black woman and any other vulnerable Black woman. We have received a new supply of LovePeddlers from Europe and America who are desperate and too keen to take up the appointments.

My latest appeal is that the maternity hospital operations should be intensified. We are not paying those people to help bring Black babies to this world but to eliminate them on the very delivery moment. If this department worked very efficiently, a great deal could be achieved.

My Government has set aside a special fund for erecting more covert hospitals and clinics to promote this programme. Money can do anything for you. So while we have it, we should make the best use of it. In the meantime my beloved White citizens, do not take to heart what the world says, and don't be ashamed of being called racists. I do not mind being called the architect and King of Apartheid. I shall not become a monkey simply because someone has called me a monkey. I will still remain your bright star."


His Excellency Botha.

=========

Hotuba ya aliyekuwa Rais waAfrika ya Kusini ya Makaburu, P.W. Botha alipolihutubia Baraza lake laMawaziri. Hotuba hii iliyochapishwakatika gazeti la SUNDAY TIMES la nchini humo toleo la Agosti 18,1985,

“Kaka zangu na dada zangu, Pretoria imetengenezwa na watuweupe kwa ajili ya watu weupe nahatuna haja ya kuuthibitishiaumma au kumthibitishia mtumweusi kuwa sisi ni watu bora,tumekuwa tukiwaambia watuweusi jambo hili kwa njia elfu.Afrika ya Kusini ya leohaikutengenezwa katika mawazoya kawaida, tumeitengeneza kwakutumia akili nyingi, jasho nadamu. Mnaposema kuwatunawabagua watu weusi sielewi,Hivi ni Makaburu ndio waliojaribukusitisha kizazi cha Waaboriginiwa Australia? Je, ni Makaburuwaliowatenga na kuwanyanyasawatu weusi Marekani kwa kuwaitaniggaz?

Je, ni Makaburu ndiowaliowatenga na kuwanyanyasawatu weusi huku Uingereza kwakuwatungia sheria zakuwakandamiza? Kanada,Ufaransa, Urusi na Japani naowana njia zao za kibaguzi. Hivikwa nini hasa kuna kelele nyingidhidi yetu? Huu ni uendawazimu!Kwa nini wanatukaba koo kiasihiki? Hawatutendei haki hatakidogo.Nataka kuwaeleza kuwa hakunakibaya tunachokitenda hapaambacho hao wanaojiita wakokatika dunia ya ustaarabuwameacha kukifanya. Sisi ni watuwema tusio na hatia na ambaotumeweka wazi mfumo wa maishatunayotaka tuishi kama watuweupe. Sisi sio wanafiki kamawazungu wenzetu wafanyao kamakwamba wanawapenda watuweusi.Ukweli kuwa watu weusiwanafanana na binadamu nakutenda mambo kama binadamuhauhalalishi wao kuwa watu wenyeakili timamu au binadamuwaliotimia. Kanunguyeye sinungunungu na mijusi hawawezikuwa mamba eti kwa sababu tuwanafanana.

Kama Mungu angelitaka tufanane na watu weusiangetufanya sote tuwe na rangi nafikra sawa. Lakini alituumbatofauti: Weupe, Weusi, Wanjano,watawala na watawaliwa. Katikaupeo sisi ni bora kuliko watu weusina hilo halina ubishi kwanilimejidhihirisha kwa miaka mingiiliyopita. Naamini kuwa Kaburu nimtu safi, mwenye hofu na Mungu.Ni mtu ambaye ameonesha kwavitendo njia sahihi ya utu.Hata hivyo, inafurahisha kuona kuwaUlaya, Marekani, Kanada, Australiana wengine wengi wako nyumayetu achilia mbali maneno yao.Kuhusu uhusiano wa kidiplomasia,sote tunafahamu lughainvyotakiwa kutumika. Na kwaushahidi ulio wazi hivi kuna mtuhapa asiyejua kuwa nchi nyingi zaUlaya zinatamani kuja kuwekezaAfrika ya Kusini? Nani anayenunuadhahabu yetu? Nani anayenunuaalmasi yetu? Nani anafanyabiashara nasi? Nani anatusaidiakatika kuendesha silaha zanyuklia? Ukweli ni kwamba sisi niwatu wao na wao ni watu wetu.Hii ni siri kubwa.Nguvu ya uchumi wetu inajengwakwa kiasi kikubwa na Marekani,Uingereza na Ujerumani. Ni jambokubwa sana hili na kwa maanahiyo, mtu mweusi ni malighafi kwamtu mweupe.

Hivyo basi, kaka nadada zangu hebu tuunganekumpiga vita huyu shetani mweusi.Napiga mbiu kwa Makaburu wotekujitokeza kwa hali na malikupigana vita hii. Hakika Munguhawezi kuwatupa watu wakeambao ni sisi.Hadi sasa imeonekana kwa vitendokuwa watu weusi hawawezikujitawala. Wape bunduki kamahawataanza kuuana.

Hawanalolote jema isipokuwa mashujaawa kupiga kelele, kucheza ngoma,kuoa wanawake wengi na kupendasana ngono. Hebu sasa tukubalikuwa mtu mweusi ni alama yaumaskini, udumavu wa akili, uvivuna kukosa ushindani, Hivi hapo, je,si kweli kwamba mtu mweupealiumbwa ili amtawale mtumweusi? Hivi utajisikiaje ukiamkaasubuhi ukamkuta kafiri, yaanimtu mweusi amekalia kiti chautawala? Hivi unajuakitakachotokea kwa wanawakewetu? Hivi kuna mtu anawazakwamba mweusi ataitawala nchihii?

Kwa hiyo tuna sababu nzuri yakuwapeleka akina Mandela jelawaozee huko na katika hilinadhani upo umuhimu wa kupewapongezi kwani tungekuwa nauwezo wa kuwaangamiza lakinibado wanaishi. Napendakuwatangazia mikakati mipya yakuwaangamiza hawa watu weusi.Tutumie sumu kuwamaliza.

Kamwe tusiruhusu idadi ya watu weusi iendelee kukua vinginevyo tutakwisha.Tayari nimeshawaleta wanasayansi ambao wamekuja nasehemu kubwa ya mzigo wa sumu na ninawasaka watafiti wengine zaidi waangalie sehemu murua zakuitumia sumu hiyo kwa lengo la kuwaangamiza watu weusi. Sehemu nzuri za kuwaangamizia kwa sumu ni hospitalini na pia katika usambazaji wa chakula inaweza kutumika. Tumetengeneza sumu inayoua taratibu na kupunguza uwezo wa uzazi. Lakini hofu yetu ni kwamba itakuwaje kama sumu hiyo itaangukia kwenye mikono yao. Hata hivyo, tunafanya kila tuwezalo kuhakikisha kuwa sumu hiyo inabaki katika himaya yetu.Pili, Watu weusi wanapenda sana pesa kwa hiyo tunaweza kuwategakwa njia hiyo. Wataalamu wetu,wanalifanyia kazi suala hilo ili mtumweusi amchukie mtu mweusimwenzake. Hawana upeo wakufikiri na huyo ndiye kiumbedhaifu kisicho na akili ya kuonambali. Kuna umuhimu mkubwa wakupanga mambo hayo yaendeleekwa muda mrefu ili wasibainikinachoendelea. Kwa kawaida mtumweusi hapangi mikakati inayozidikipindi cha mwaka mmoja. Nahapa napenda niwaombe akinamama wote wa kikaburu wazaekwa fujo kusudi kuongeza idadiyetu. Litakuwa jambo la maanapia kama kutatengwa vituomaalumu ambako vijana wa kikena wa kiume watakaa na serikalikuwawezesha kuzaa kwa idadikubwa iwezekanavyo ili kuongezaidadi yetu.Wakati hilo likiendelea, lazimatuwabane watu weusi waachanena wake zao.

Ninayo kamatiinayoratibu na kuangalia njia nzuriya kuwafanya watu hawawachukiane na wauane wenyewekwa wenyewe. Adhabu kwa mtumweusi aliyemuua mtu mweusimwenzie iwe ndogo ili kuwapahamasa ya kuendelea na mauaji.Wanasayansi wangu wameshauripia kwamba kuna ulazima wakuwawekea sumu kwenye pombe,sumu ambayo itakuwa inawauataratibu na kumaliza uwezo wakuzaa pia. Njia kama hii nanyingine zinafananazo na hiiitarahisisha kuipunguza idadi yao.Rekodi zinaonyesha pia kuwa mtumweusi anampenda sanamwanamke mweupe.Hii ni nafasinzuri kwetu. Wanawake wetuwarembo wanaotumika katikambinu za kuwaangamizawapinzani wetu watatumikakuwaua hao wanaopinga ubaguziwa rangi.

Hili ni jeshi letu lamwituni la mapenzi huku tukiwana jeshi kama hilo kwa upande wawanaume weupe ambaowatawafuata wanawake weusi.Pia serikali imeagiza malayakutoka Marekani na Ulaya kwa ajiliya kukidhi haja hiyo. Ombi langula mwisho ni kwamba wajawazitowanapozaa hospitalini, watotolazima wauawe pindi tuwanapotoka tumboni. Hatuwalipiwale wauguzi kwa ajili yakutuletea watoto weusi katikadunia hii bali kuwaangamiza.Serikali yangu imetenga fungumaalumu la pesa kwa ajili yakujenga hospitali na kliniki kwaajili ya kufanikisha mpango huo.

Pesa inafanya lolote na kwa viletunazo tuzitumie ipasavyo.Kwa muda huu, ndugu zanguweupe, msiyaweke moyoni manenoyanayosemwa dhidi yetu na walamsione aibu kuitwa wabaguzi nawala sijali kuitwa mhandisi namfalme wa ubaguzi.

Siwezikugeuka nyani eti kwa sababu mtukaniita nyani. Nitabaki kuwa nyotainayong’aa ... mtukufu Botha.

Leo naondoa mawingu; keshonitajaribu milima"

MWISHO WA NUKUU.
 
Secondly, most Blacks are vulnerable to money inducements. I have set aside a special fund to exploit this venue. The old trick of divide and rule is still very valid today. Our experts should work day and night to set the Black man against his fellowman. His inferior sense of morals can be exploited beautifully. And here is a creature that lacks foresight. There is a need for us to combat him in long term projections that he cannot suspect. The average Black does not plan his life beyond a year: that stance, for example, should be exploited.

I am very sad to agree with this and some of what we he said. Just llok at how many Bastards we have in Tanzania. Just look at how many polygamists we have in Tanzania, what for! Cruel but true!
 
I am very sad to agree with this and some of what we he said. Just llok at how many Bastards we have in Tanzania. Just look at how many polygamists we have in Tanzania, what for! Cruel but true!

this side too nakubaliana na baadhi japo roho inauma

:eek: I wonder % ya 'wazungu' wengine wanatufikiriaje na wao na maskendeli yetu kila kukicha as if "weusi" ni 'vichwa' vya wendawazimu!!!!
 
Last week nilikuwa Tokyo Japan. Katika pitapita yangu sehemu maarufu kwa wa geni inaitwa Akiabara nikakutana na mzungu kwenye Cafteria. Jama akanisalimia, hi! nikamwambia hi! akaniuliza umetoka wapi? nikamjibu Tz. Jamaa akaniambia yeye ni Major Geneara huko S. AFrica na wamekuja kwa semina ya week 3 ya kudhibi madawa na akaniambia wako na Askari Polisi Mtanzania kwenye hiyo semina amabyo ilifadhiliwa na JICA.

Sasa wakati tunapiga story BBC wakawa wanaonyesha Speech ya Mugabe. Unajua jamaa alinijeukia akaniambi this people can not manage their country, unless we (whites) support them, the country is colapsing because he chased whites. Ilibidi nimuage nikaondoka lakini ilinipa picha kuwa hawa jamaa bado mentalit ya ubaguzi wa rangi haijaisha.
 
Last week nilikuwa Tokyo Japan. Katika pitapita yangu sehemu maarufu kwa wa geni inaitwa Akiabara nikakutana na mzungu kwenye Cafteria. Jama akanisalimia, hi! nikamwambia hi! akaniuliza umetoka wapi? nikamjibu Tz. Jamaa akaniambia yeye ni Major Geneara huko S. AFrica na wamekuja kwa semina ya week 3 ya kudhibi madawa na akaniambia wako na Askari Polisi Mtanzania kwenye hiyo semina amabyo ilifadhiliwa na JICA.

Sasa wakati tunapiga story BBC wakawa wanaonyesha Speech ya Mugabe. Unajua jamaa alinijeukia akaniambi this people can not manage their country, unless we (whites) support them, the country is colapsing because he chased whites. Ilibidi nimuage nikaondoka lakini ilinipa picha kuwa hawa jamaa bado mentalit ya ubaguzi wa rangi haijaisha.
Mtoto wa Mkulima kama angekuwa na mentality ya ubaguzi basi asingekusalimia. Unajua swala la ubaguzi wa rangi tunalizungumzia juu juu tu bila kuangalia undani wake. Kama ungejua undani wake basi ungekuwa na picha nzuri.

Ninamfahamu jamaa mmoja alikwenda South Africa, aliingia kwenye hoteli iliyoandokwa kwa lugha ya kiafrikaner "si kwa ajili ya watu weusi" Jamaa alikaa pale lakini cha ajabu polisi akaja kumtimua, baada ya kuona haelewi lugha yake,akaongea naye kwa kiingereza, jamaa akasema samahani sikufahamu kama hapa weusi haturuhusiwi.

Yule polisi baada ya kuona jamaa ni mstaarabu na ana behavior nzuri akamuomba msamaha akamwambia nisamehe tutakupa chakula bure, tunaokata kuingia hapa ni wenyeji wenye akili kama wanyama. But all are blacks, why yes to some blacks and no to others? we are same race, so there should be more than skin color.
 
Mtoto wa Mkulima kama angekuwa na mentality ya ubaguzi basi asingekusalimia. Unajua swala la ubaguzi wa rangi tunalizungumzia juu juu tu bila kuangalia undani wake. Kama ungejua undani wake basi ungekuwa na picha nzuri.

Ninamfahamu jamaa mmoja alikwenda South Africa, aliingia kwenye hoteli iliyoandokwa kwa lugha ya kiafrikaner "si kwa ajili ya watu weusi" Jamaa alikaa pale lakini cha ajabu polisi akaja kumtimua, baada ya kuona haelewi lugha yake,akaongea naye kwa kiingereza, jamaa akasema samahani sikufahamu kama hapa weusi haturuhusiwi. Yule polisi baada ya kuona jamaa ni mstaarabu na ana behavior nzuri akamuomba msamaha akamwambia nisamehe tutakupa chakula bure, tunaokata kuingia hapa ni wenyeji wenye akili kama wanyama. But all are blacks, why yes to some blacks and no to others? we are same race, so there should be more than skin color.
Mkuu nakubaliana na wewe ila jamaa yeye ni Msouth na anasema bila sisi weupe Zimbabwe hawawezi kuongoza nchi.

Any way some times nikiangaliaga mambo yetu naona jamaa wana haki ya kudharau. Ukiangalia serikali zetu pia nazo zinatia kinyaa maana zimekuwa omba omba.

Ni kwanini nchi kama Za Asia although sio zote zinaweza kuendelea? S. Africa ni exceptional na Botswana pia ni kwasabau ya resources. Nini hasa tatizo letu? Yaani nchi kama Tanzania tunaimport hadi wembe, Kahawa yenyewe tunashindwa hata kuipaki, matunda yanaoza, rasilimali zinasafirishwa kwa kutumia viwanja vya ndege vilivyo migodini.

Hivi kweli tuna akili? Basi tuwape wazungu nchi watutawale tena na ndio maana juzio tumesikia wachina wameemua kuchapa watu basi zima. Imagine wewe uko na mke na watoto na hata mkwe wako halafu wachina wanaingia kwenye basi nakutembeza viboko ungejisikia je? Na serikali zetu bado iko kimya Hawa watu wanatuona hatunaga akili na wakati mwingine nalazimika kuamini. Akionyeshwa masikini America, South America, Viciwa vya pacific, Australia watu weusi kwa % kubwa.

Naapa sasa hivi hata serikali yetu hajui ni madini kiasi gani yanavunwa na yanathamani gani, inawezekana hawana hata dat base ya kujua ni makampuni mangapi tuko nayo Tanzania.

Waache watudharau tuu.
 
Wafanyakazi 200 AIP wagoma Dar

2007-10-02
Na Chile Kasoga

Zaidi ya wafanyakazi 200 wa kiwanda cha The African Investment Packaging Company (AIP) kilichopo Mikocheni jijini Dar es Salaam wamegoma kufanya kazi wakidai nyongeza ya mishahara kutoka sh. 60,000 wanayopewa sasa hadi sh. 120,000.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, mwakilishi wa wafanyakazi hao, Bw. Abdu Hausi alisema: ``Tumeamua kujichukulia sheria mkononi kama njia pekee ili kutoa shinikizo kwa menejementi baada ya juhudi za mazungumzo kugonga mwamba.``

Bw. Hausi alisema pamoja na kudai nyongeza ya mshahara kwa asilimia 100, lengo la mgomo huo ni kukomesha vitendo vya unyanyasaji wanavyofanyiwa na baadhi ya maofisa wa ngazi za juu kiwandani hapo.

Bw. Hausi ambaye pia ni mwakilishi chama cha wafanyakazi, TUICO, kiwandani hapo alisema kwa kipindi kirefu wamekuwa wakifanya mikutano na menejimenti kuzungumzia suala la mishahara lakini hakuna matumaini.

``Ni kipindi kirefu sasa tumekuwa tukipata ujira mdogo ukilinganisha na kazi ngumu tunazofanya. hapa Tumechoka kwa kweli,`` alisema.

Kwa upande wake, mwakilishi wa menejimenti anayeshugulikia kero za wafanyakazi, Bw. Subri Islam aliwaambia wafanyakazi kwamba hawezi kujadiliana nao.

Akizungumza kwa jazba na dhihaka alisema kampuni haina mpango wa kuongeza mshahara na kwamba wafanyakazi ambao hawaridhiki wanaweza kuondoka kiwandani hapo mara moja.
?Ondokeni na mrudi vijijini mlikotoka kama hamridhiki na kipato chenu? Kwanza mnanichefua,`` alisema.

Kwa mujibu wa wafanyakazi hao, baadhi ya maofisa wamekuwa wakidiriki hata kuwaadhibu kwa kuwazaba makofi wafanyakazi pale wanapokosea kidogo kazini.

"Kuna ubaguzi wa hali ya juu hapa kiwandani ukizingatia maofisa wa juu ni wageni ambao hawajali kabisa haki ya mtu mweusi,"aliongeza Bw. Yohana Nduguru.

Bw. Nduguru alibainisha kuwa hawajawahi kumwona mmiliki wa kiwanda hicho toka kilipoanza shuguli zake nchini, ila wamekuwa wakisikia kuwa ni mwakilishi wa Ubalozi wa Comoro nchini Tanzania.

Mpaka mwandishi wa Nipashe anaondoka kiwandani hapo jana, hakuna mwafaka uliokuwa umefikiwa na wafanyakazi hao waliapa kutorudi kazini mpaka wapewe nyongeza ya mishahara.

SOURCE: Nipashe
 
Unaona Mtoto wa mkulima, kuna kitu kimoja uanchotakiwa kukumbuka sisi tunakuwa mbele sana na hilo neno ubaguzi wa rangi. Si kweli kama weupe wanabagua weusi kila mara.

Ni kweli wapo wabaguzi hatukatai lakini sio kila mahali ni ubaguzi tu hata kama hakuna ubaguzi, mimi ni Mtanzania nimefanya kazi na watu wa rangi tofauti, naelewa vizuri hao wageni wanacholalamika. Ni lazima kwanza tujiangalie sisi wenyewe kabla ya kuanza kusema sababu ni ubaguzi wa rangi. Mimi bado naamini sababu kuwa inatokana na weakness zetu na sio ubaguzi. Kama hao watu wangekuwa wabaguzi wasingethubutu hata kuja Tanzania.
 
..nikakutana na mzungu kwenye Cafteria. Jama akanisalimia, hi! nikamwambia hi! akaniuliza umetoka wapi? nikamjibu Tz. Jamaa akaniambia yeye ni Major Geneara huko S. AFrica

Mtoto wa Mkulima kama angekuwa na mentality ya ubaguzi basi asingekusalimia. Unajua swala la ubaguzi wa rangi tunalizungumzia juu juu tu bila kuangalia undani wake. Kama ungejua undani wake basi ungekuwa na picha nzuri.
.

Sasa wakati tunapiga story BBC wakawa wanaonyesha Speech ya Mugabe. Unajua jamaa alinijeukia akaniambi this people can not manage their country, unless we (whites) support them, the country is colapsing because he chased whites. Ilibidi nimuage nikaondoka lakini ilinipa picha kuwa hawa jamaa bado mentalit ya ubaguzi wa rangi haijaisha.



..." unless we (whites) support them (Zimbabweans)

mimi nimeitafsiri;

..." unless we (south africans) support them (Zimbabweans)

...Kuhusu R.Mugabe, siri ya kuwafukuza "whites" wa Zimbambwe ni sababu ya (wao wazungu) kui support MDC, badala ya ZANU!!!

...Why, for an example, are farms owned by 'white ZANU-PF supporters/sympathisers' not targeted in the 'land retribution'?
 
Mtoto wa Mkulima, huu ni mwanzo tu. Serikali isipowajali watu wake tutaishia kuwachinja wageni mmoja mmoja na sijui watafanya nini. Kweli speech ya Kaburu Botha imenisikitisha sana lakini hata mimi nakubaliana na mambo mengine aliyoyasema.

Sisi tunapenda starehe kuliko kazi, na tunadharauliana wenyewe kwa wenyewe na kuwaabudu wageni. Hata viongozi wa nchi hii wanaona wageni ni bora kuliko wenyeji. Nikiangalia tunavyodharaulika katika nchi za wenzetu (Ulaya, Marekani, Skandinavia,China, hata India) halafu tunarudi nyumbani tunadharaulika vile vile inatisha.

Tunachohitaji kufanya ni kuhamasisha kizazi kipya waijenge tabia ya kupendana na kufanya kazi kwa bidii tuondokane na huu utumwa wa akili.
 
Mtoto wa Mkulima, huu ni mwanzo tu. Serikali isipowajali watu wake tutaishia kuwachinja wageni mmoja mmoja na sijui watafanya nini. Kweli speech ya Kaburu Botha imenisikitisha sana lakini hata mimi nakubaliana na mambo mengine aliyoyasema.

Sisi tunapenda starehe kuliko kazi, na tunadharauliana wenyewe kwa wenyewe na kuwaabudu wageni. Hata viongozi wa nchi hii wanaona wageni ni bora kuliko wenyeji. Nikiangalia tunavyodharaulika katika nchi za wenzetu (Ulaya, Marekani, Skandinavia,China, hata India) halafu tunarudi nyumbani tunadharaulika vile vile inatisha.

Tunachohitaji kufanya ni kuhamasisha kizazi kipya waijenge tabia ya kupendana na kufanya kazi kwa bidii tuondokane na huu utumwa wa akili.
Ni kweli mkuu kama tutaweza kujieltea maendeleo yetu sisi wenyewe naamini tutahheshimika. sibishi kabisa waafrika wengi huwa hawapendi kuwaibika na wanapenda starehe kuliko kazi. Tujenge uchumi wetu na tuachane na tabia ya kuomba omba. Tujenge tabia ya uzalendo na kuheshimiana wenyewe kwa wenyewe.

Nilikuwa nasoma kitabu kimoja cha Economics of law, kinasema magereza ya US yamejaa black ambao kwa population ni wadogo. wengi wenye kesi za mauji ni weusi walioua weusi wenzao! Sasa kwa nini tusianzekupendana sisi kwa sisi?
 
Wakuu kama mmewahi kwenda pale kwenye apartheid museum - Gold reef city haitakuchukua muda kuamini kwamba hiyo hotuba kuna uwezekano ilitolewa. Maana kuna hotuba zingine za mlengo huo huo zilikuwa zikitolewa na ziko video-recorded.

The fact ni kwamba the comitted sins by Afrikaners will never ever be forgotten na hata wao wenyewe huwa wanakiri kwamba serikali yao iliwabrainwash to an extent ya kuamini hayo yaliyoandikwa kwenye hiyo hotuba.

When I remember the names like Magnus Malan, The Bothas my blood usually runs cold.
 
I have come a cross this article nikaona niwarushie humu Jamiii forums nanyi mjionee yale yaliyokuwa yanajiri enzi hizo South Africa. Je hivi hayo mawazo ya a kina Botha yameondoka kabisa miongoni mwa hawa makaburu tunaowakaribisha kuendesha uchumi wa nchi yetu??? Ninasema hivyo kwa sababu South Africans firms zimekamata kila eneo la uchumi. Mjadala mwema.
 
Mkuu, sijamaliza kuisoma! UKWELI UNAUMA.

The last four palagraphs!....are they genuine?..ooh my Gun!, he deserves to be f**ked!
 
Duh...hii balaa. Lakini je anaweza kuwa sahihi hapa chini? Hasa ukiangalia mikutano ya kikwete na watu wanavyojipanga huku? Pia hili swala zima la ufisadi hasa ukiangalia watu kama Chenge? Na pia hizi takrima wakati wa uchaguzi?

"Secondly, most Blacks are vulnerable to money inducements. I have set aside a special fund to exploit this venue. The old trick of divide and rule is still very valid today. Our experts should work day and night to set the Black man against his fellowman.

His inferior sense of morals can be exploited beautifully. And here is a creature that lacks foresight. There is a need for us to combat him in long term projections that he cannot suspect. The average Black does not plan his life beyond a year: that stance, for example,should be exploited."
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom