Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,704
- 4,737
Ukiacha marekani hapa tz akuna mb yeyote alishapigwa risasi ndani ya viunga vya bunge?Kuna senator aliyepigwa risasi marekani mchana ndani ya viunga vya senate?
Achana na senator tuanze na meza kuu kwa uchache sana haijalishi ni viunga vya Senate,...abrahim Lincoln, JFK,
Tonmy BUrcks.., Lous Cardis ******(huyu Kuna ufanano na unakofikiria) plus Edward 'eddy' king....same theory.
....15+ congressmen had been gunned down/killed in office tena wengine kwenye viunga vya Senate......
Kaburu Akitaka kukutawala alikua anakujaza ujinga kama hiyo caption uliyoileta. Kamsome Hitler kidogo sio kwenye movie ila kwa maandishi.