Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu

We Africans are just an inferior race. Huo ndio ukweli.

Wewe mtu anakukuta sehemu umejijenga na una maisha yako halafu kizembe zembe anakutawala na kusema kavumbua yeye hilo eneo na wewe mwenye eneo kuonekana ni mgeni unadhani ni hulka ya kawaida??

Kwanini wazungu hawjaenda Saudia ama China kusema wamewavumbua. Sisi waafrika ni watu wa ovyo kutoka enzi na enzi, that's the truth. Kuna madingi walibadilishana ardhi zao na vioo, pumbavu.
 
Hata “Wazungu” don’t rule themselves pia au unafikiri nani anajaza Muslims in Western Christian Nations? Nani aliwaletea corona na kuwadunga mRNA za majaribio? Nani aliunda EU na kudestroy European Christian Civilization? Nani analeta LGBT+ kwenye christian nations? , nani anadestroy the mighty American dollar ? Nani alileta evil and Godless communism na kudestroy Christianity kwa kuleta Islam?
Waislam tena??
 
Inasemekana alisema maneno haya, ingawa wengine wanasema hakuyasema, lakini hata kama hakuyasema, je kuna ukweli ndani yake?

1. Black people cannot rule themselves because they don’t have the brain and mental capacity to govern a society.

2. Give them guns, they would kill themselves.

3. Give them power, they will steal all the government money.

4. Give them independence and democracy; they will use it to promote tribalism, ethnicity, bigotry, hatred, killings, and wars!

Bolded
1. CAG report.
2. Kila mmoja kwa kamba ya urefu wake...najua mnapatapata kwenye maeneo yenu!
Kwa namna ilivyo katika nchi yetu na Afrika kwa ujumla wake,Jamaa aliongea ukweli mtupu .kuna wengine nawaona hapa wanakata viuno kwenye mapokezi ya ndege nawaonea huruma nikikumbuka report ya CAG
 
Inasemekana alisema maneno haya, ingawa wengine wanasema hakuyasema, lakini hata kama hakuyasema, je kuna ukweli ndani yake?

1. Black people cannot rule themselves because they don’t have the brain and mental capacity to govern a society.

2. Give them guns, they would kill themselves.

3. Give them power, they will steal all the government money.

4. Give them independence and democracy; they will use it to promote tribalism, ethnicity, bigotry, hatred, killings, and wars!

Bolded
1. CAG report.
2. Kila mmoja kwa kamba ya urefu wake...najua mnapatapata kwenye maeneo yenu!
Kwan una umri gani mkuu?!
Unapouliza kuna ukweli gan?! Ni kwmb we unaona uwongo kwenye hayo yaliyosemwa ama vip?!
 
Kiongozi mzuri anaandaa viongozi wa kumrithi na anaishi kwa mfano

Africa hatujui kuchagua viongozi

Kiongozi Mzuri hawezi kupendwa, ukipendwa ujue unaharibu

Mtu wa maamuzi magumu hawezi kupendwa na wazungu

Viongozi wa African wengi ni puppets wa wazungu
 
We Africans are just an inferior race. Huo ndio ukweli.

Wewe mtu anakukuta sehemu umejijenga na una maisha yako halafu kizembe zembe anakutawala na kusema kavumbua yeye hilo eneo na wewe mwenye eneo kuonekana ni mgeni unadhani ni hulka ya kawaida??

Kwanini wazungu hawjaenda Saudia ama China kusema wamewavumbua. Sisi waafrika ni watu wa ovyo kutoka enzi na enzi, that's the truth. Kuna madingi walibadilishana ardhi zao na vioo, pumbavu.
Uafrika ni LAANA
 
Inasemekana alisema maneno haya, ingawa wengine wanasema hakuyasema, lakini hata kama hakuyasema, je kuna ukweli ndani yake?

1. Black people cannot rule themselves because they don’t have the brain and mental capacity to govern a society.

2. Give them guns, they would kill themselves.

3. Give them power, they will steal all the government money.

4. Give them independence and democracy; they will use it to promote tribalism, ethnicity, bigotry, hatred, killings, and wars!

Bolded
1. CAG report.
2. Kila mmoja kwa kamba ya urefu wake...najua mnapatapata kwenye maeneo yenu!
Mbona Trump ameongea sana hizi kauli?

Trump akaenda mbali zaidi akasema umahiri wetu ni kwenye ngono tu.
 
Inasemekana alisema maneno haya, ingawa wengine wanasema hakuyasema, lakini hata kama hakuyasema, je kuna ukweli ndani yake?

1. Black people cannot rule themselves because they don’t have the brain and mental capacity to govern a society.

2. Give them guns, they would kill themselves.

3. Give them power, they will steal all the government money.

4. Give them independence and democracy; they will use it to promote tribalism, ethnicity, bigotry, hatred, killings, and wars!

Bolded
1. CAG report.
2. Kila mmoja kwa kamba ya urefu wake...najua mnapatapata kwenye maeneo yenu!
Hakuna Botha aliyewahi sema hivi kati ya wale wawili. Ni dhana ilitungwa kumchafua ama kusisitiza mtazamo wa mtu kwa kupitia mgongo wake. Hii kitu imeandikwa na Waafrika wenyewe na ukitaka wakupe evidence aliisema wapi, lini na rekodi ziko wapi hawana
 
Read this very carefully guys and take a close look at yourself and the environment that you live in today

Botha speech 1985

THE FOLLOWING is a speech made by former South African President P.W. Botha to his Cabinet. This reprint was written by David G. Mailu for the Sunday Times, a South African newspaper, dated August 18, 1985.

=========

" Pretoria has been made by the White mind for the White man. We are not obliged even the least to try to prove to anybody and to the Blacks that we are superior people. We have demonstrated that to the Blacks in a thousand and one ways. The Republic of South Africa that we know of today has not been created by wishful thinking. We have created it at the expense of intelligence, sweat and blood.

Were they Afrikaners who tried to eliminate the Australian Aborigines? Are they Afrikaners who discriminate against Blacks and call them Nigge*rs in the States? Were they Afrikaners who started the slave trade? Where is the Black man appreciated? England discriminates against its Black and their "Sus" law is out to discipline the Blacks. Canada, France, Russia, and Japan all play their discrimination too.

Why in the hell then is so much noise made about us? Why are they biased against us? I am simply trying to prove to you all that there is nothing unusual we are doing that the so called civilized worlds are not doing. We are simply an honest people who have come out aloud with a clear philosophy of how we want to live
our own White life.

We do not pretend like other Whites that we like Blacks. The fact that, Blacks look like human beings and act like human beings do not necessarily make them sensible human beings. Hedgehogs are not porcupines and lizards are not crocodiles simply because they look alike. If God wanted us to be equal to the Blacks, he would have created us all of a uniform colour and intellect. But he created us differently: Whites, Blacks, Yellow, Rulers and the ruled.

Intellectually, we are superior to the Blacks; that has been proven beyond any reasonable doubt over the years. I believe that the Afrikaner is an honest, God fearing person, who has demonstrated practically the right way of being. Nevertheless, it is comforting to know that behind the scenes, Europe, America, Canada, Australia-and all others are behind us in spite of what they say. For diplomatic relations, we all know what language should be used and where.

To prove my point, Comrades, does anyone of you know a White country without an investment or interest in South Africa? Who buys our gold? Who buys our diamonds? Who trades with us? Who is helping us develop other nuclear weapon? The very truth is that we are their people and they are our people. It's a big secret. The strength of our economy is backed by America, Britain, Germany. It is our strong conviction, therefore, that the Black is the raw material for the White man.

So Brothers and Sisters, let us join hands together to fight against this Black devil. I appeal to all Afrikaners to come out with any creative means of fighting this war. Surely God cannot forsake his own people whom we are. By now every one of us has seen it practically that the Blacks cannot rule themselves. Give them guns and they will kill each other. They are good in nothing else but making noise, dancing, marrying many wives and indulging in sex. Let us all accept that the Black man is the symbol of poverty, mental inferiority, laziness and emotional incompetence. Isn't it plausible? therefore that the White man is created to rule the Black man? Come to think of what would happen one day if you woke up and on the throne sat a Kaff*ir! Can you imagine what would happen to our women? Does anyone of you believe that the Blacks can rule this country?

Hence, we have good reasons to let them all-the Mandelas-rot in prison, and I think we should be commended for having kept them alive in spite of what we have at hand with which to finish them off. I wish to announce a number of new strategies that should be put to use to destroy this Black bug. We should now make use of the chemical weapon. Priority number one, we should not by all means allow any more increases of the Black population lest we be choked very soon. I have exciting news that our scientists have come with an efficient stuff. I am sending out more researchers to the field to identify as many venues as possible where the chemical weapons could be employed to combat any further population increases. The hospital is a very strategic opening, for example and should be fully utilized. The food supply channel should be used. We have developed excellent slow killing poisons and fertility destroyers. Our only fear is in case such stuff came in! ! to their hands as they are bound to start using it against us if you care to think of the many Blacks working for us in our houses.

However, we are doing the best we can to make sure that the stuff remains strictly in our hands. Secondly, most Blacks are vulnerable to money inducements. I have set aside a special fund to exploit this venue. The old trick of divide and rule is still very valid today. Our experts should work day and night to set the Black man against his fellowman. His inferior sense of morals can be exploited beautifully. And here is a creature that lacks foresight. There is a need for us to combat him in long term projections that he cannot suspect. The average Black does not plan his life beyond a year: that stance, for example, should be exploited. My special department is already working round the clock to come out with a long-term operation blueprint. I am also sending a special request to all Afrikaner mothers to double their birth rate. It may be necessary too to set up a population boom industry by putting up centres where we employ and support fully White young men and women to produce children for the nation. We are also investigating the merit of uterus rentals as a possible means of speeding up the growth of our population through surrogate mothers.

For the time being, we should also engage a higher gear to make sure that Black men are separated from their women and fines imposed upon married wives who bear illegitimate children. I have a committee working on finding better methods of inciting Blacks against each other and encouraging murders among themselves. Murder cases among Blacks should bear very little punishment in order to encourage them.

My scientists have come up with a drug that could be smuggled into their brews to effect slow poisoning results and fertility destruction. Working through drinks and manufacturing of soft drinks geared to the Blacks, could promote the channels of reducing their population. Ours is not a war that we can use the atomic bomb to destroy the Blacks, so we must use our intelligence to affect this. The person-to-person encounter can be very effective.

As the records show that the Black man is dying to go to bed with the White woman, here is our unique opportunity. Our Sex Mercenary Squad should go out and camouflage with Apartheid Fighters while doing their operations quietly administering slow killing poison and fertility destroyers to those Blacks they thus befriend. We are modifying the Sex Mercenary Squad by introducing White men who should go for the militant Black woman and any other vulnerable Black woman. We have received a new supply of LovePeddlers from Europe and America who are desperate and too keen to take up the appointments.

My latest appeal is that the maternity hospital operations should be intensified. We are not paying those people to help bring Black babies to this world but to eliminate them on the very delivery moment. If this department worked very efficiently, a great deal could be achieved.

My Government has set aside a special fund for erecting more covert hospitals and clinics to promote this programme. Money can do anything for you. So while we have it, we should make the best use of it. In the meantime my beloved White citizens, do not take to heart what the world says, and don't be ashamed of being called racists. I do not mind being called the architect and King of Apartheid. I shall not become a monkey simply because someone has called me a monkey. I will still remain your bright star."


His Excellency Botha.

=========

Hotuba ya aliyekuwa Rais waAfrika ya Kusini ya Makaburu, P.W. Botha alipolihutubia Baraza lake laMawaziri. Hotuba hii iliyochapishwakatika gazeti la SUNDAY TIMES la nchini humo toleo la Agosti 18,1985,

“Kaka zangu na dada zangu, Pretoria imetengenezwa na watuweupe kwa ajili ya watu weupe nahatuna haja ya kuuthibitishiaumma au kumthibitishia mtumweusi kuwa sisi ni watu bora,tumekuwa tukiwaambia watuweusi jambo hili kwa njia elfu.Afrika ya Kusini ya leohaikutengenezwa katika mawazoya kawaida, tumeitengeneza kwakutumia akili nyingi, jasho nadamu. Mnaposema kuwatunawabagua watu weusi sielewi,Hivi ni Makaburu ndio waliojaribukusitisha kizazi cha Waaboriginiwa Australia? Je, ni Makaburuwaliowatenga na kuwanyanyasawatu weusi Marekani kwa kuwaitaniggaz?

Je, ni Makaburu ndiowaliowatenga na kuwanyanyasawatu weusi huku Uingereza kwakuwatungia sheria zakuwakandamiza? Kanada,Ufaransa, Urusi na Japani naowana njia zao za kibaguzi. Hivikwa nini hasa kuna kelele nyingidhidi yetu? Huu ni uendawazimu!Kwa nini wanatukaba koo kiasihiki? Hawatutendei haki hatakidogo.Nataka kuwaeleza kuwa hakunakibaya tunachokitenda hapaambacho hao wanaojiita wakokatika dunia ya ustaarabuwameacha kukifanya. Sisi ni watuwema tusio na hatia na ambaotumeweka wazi mfumo wa maishatunayotaka tuishi kama watuweupe. Sisi sio wanafiki kamawazungu wenzetu wafanyao kamakwamba wanawapenda watuweusi.Ukweli kuwa watu weusiwanafanana na binadamu nakutenda mambo kama binadamuhauhalalishi wao kuwa watu wenyeakili timamu au binadamuwaliotimia. Kanunguyeye sinungunungu na mijusi hawawezikuwa mamba eti kwa sababu tuwanafanana.

Kama Mungu angelitaka tufanane na watu weusiangetufanya sote tuwe na rangi nafikra sawa. Lakini alituumbatofauti: Weupe, Weusi, Wanjano,watawala na watawaliwa. Katikaupeo sisi ni bora kuliko watu weusina hilo halina ubishi kwanilimejidhihirisha kwa miaka mingiiliyopita. Naamini kuwa Kaburu nimtu safi, mwenye hofu na Mungu.Ni mtu ambaye ameonesha kwavitendo njia sahihi ya utu.Hata hivyo, inafurahisha kuona kuwaUlaya, Marekani, Kanada, Australiana wengine wengi wako nyumayetu achilia mbali maneno yao.Kuhusu uhusiano wa kidiplomasia,sote tunafahamu lughainvyotakiwa kutumika. Na kwaushahidi ulio wazi hivi kuna mtuhapa asiyejua kuwa nchi nyingi zaUlaya zinatamani kuja kuwekezaAfrika ya Kusini? Nani anayenunuadhahabu yetu? Nani anayenunuaalmasi yetu? Nani anafanyabiashara nasi? Nani anatusaidiakatika kuendesha silaha zanyuklia? Ukweli ni kwamba sisi niwatu wao na wao ni watu wetu.Hii ni siri kubwa.Nguvu ya uchumi wetu inajengwakwa kiasi kikubwa na Marekani,Uingereza na Ujerumani. Ni jambokubwa sana hili na kwa maanahiyo, mtu mweusi ni malighafi kwamtu mweupe.

Hivyo basi, kaka nadada zangu hebu tuunganekumpiga vita huyu shetani mweusi.Napiga mbiu kwa Makaburu wotekujitokeza kwa hali na malikupigana vita hii. Hakika Munguhawezi kuwatupa watu wakeambao ni sisi.Hadi sasa imeonekana kwa vitendokuwa watu weusi hawawezikujitawala. Wape bunduki kamahawataanza kuuana.

Hawanalolote jema isipokuwa mashujaawa kupiga kelele, kucheza ngoma,kuoa wanawake wengi na kupendasana ngono. Hebu sasa tukubalikuwa mtu mweusi ni alama yaumaskini, udumavu wa akili, uvivuna kukosa ushindani, Hivi hapo, je,si kweli kwamba mtu mweupealiumbwa ili amtawale mtumweusi? Hivi utajisikiaje ukiamkaasubuhi ukamkuta kafiri, yaanimtu mweusi amekalia kiti chautawala? Hivi unajuakitakachotokea kwa wanawakewetu? Hivi kuna mtu anawazakwamba mweusi ataitawala nchihii?

Kwa hiyo tuna sababu nzuri yakuwapeleka akina Mandela jelawaozee huko na katika hilinadhani upo umuhimu wa kupewapongezi kwani tungekuwa nauwezo wa kuwaangamiza lakinibado wanaishi. Napendakuwatangazia mikakati mipya yakuwaangamiza hawa watu weusi.Tutumie sumu kuwamaliza.

Kamwe tusiruhusu idadi ya watu weusi iendelee kukua vinginevyo tutakwisha.Tayari nimeshawaleta wanasayansi ambao wamekuja nasehemu kubwa ya mzigo wa sumu na ninawasaka watafiti wengine zaidi waangalie sehemu murua zakuitumia sumu hiyo kwa lengo la kuwaangamiza watu weusi. Sehemu nzuri za kuwaangamizia kwa sumu ni hospitalini na pia katika usambazaji wa chakula inaweza kutumika. Tumetengeneza sumu inayoua taratibu na kupunguza uwezo wa uzazi. Lakini hofu yetu ni kwamba itakuwaje kama sumu hiyo itaangukia kwenye mikono yao. Hata hivyo, tunafanya kila tuwezalo kuhakikisha kuwa sumu hiyo inabaki katika himaya yetu.Pili, Watu weusi wanapenda sana pesa kwa hiyo tunaweza kuwategakwa njia hiyo. Wataalamu wetu,wanalifanyia kazi suala hilo ili mtumweusi amchukie mtu mweusimwenzake. Hawana upeo wakufikiri na huyo ndiye kiumbedhaifu kisicho na akili ya kuonambali. Kuna umuhimu mkubwa wakupanga mambo hayo yaendeleekwa muda mrefu ili wasibainikinachoendelea. Kwa kawaida mtumweusi hapangi mikakati inayozidikipindi cha mwaka mmoja. Nahapa napenda niwaombe akinamama wote wa kikaburu wazaekwa fujo kusudi kuongeza idadiyetu. Litakuwa jambo la maanapia kama kutatengwa vituomaalumu ambako vijana wa kikena wa kiume watakaa na serikalikuwawezesha kuzaa kwa idadikubwa iwezekanavyo ili kuongezaidadi yetu.Wakati hilo likiendelea, lazimatuwabane watu weusi waachanena wake zao.

Ninayo kamatiinayoratibu na kuangalia njia nzuriya kuwafanya watu hawawachukiane na wauane wenyewekwa wenyewe. Adhabu kwa mtumweusi aliyemuua mtu mweusimwenzie iwe ndogo ili kuwapahamasa ya kuendelea na mauaji.Wanasayansi wangu wameshauripia kwamba kuna ulazima wakuwawekea sumu kwenye pombe,sumu ambayo itakuwa inawauataratibu na kumaliza uwezo wakuzaa pia. Njia kama hii nanyingine zinafananazo na hiiitarahisisha kuipunguza idadi yao.Rekodi zinaonyesha pia kuwa mtumweusi anampenda sanamwanamke mweupe.Hii ni nafasinzuri kwetu. Wanawake wetuwarembo wanaotumika katikambinu za kuwaangamizawapinzani wetu watatumikakuwaua hao wanaopinga ubaguziwa rangi.

Hili ni jeshi letu lamwituni la mapenzi huku tukiwana jeshi kama hilo kwa upande wawanaume weupe ambaowatawafuata wanawake weusi.Pia serikali imeagiza malayakutoka Marekani na Ulaya kwa ajiliya kukidhi haja hiyo. Ombi langula mwisho ni kwamba wajawazitowanapozaa hospitalini, watotolazima wauawe pindi tuwanapotoka tumboni. Hatuwalipiwale wauguzi kwa ajili yakutuletea watoto weusi katikadunia hii bali kuwaangamiza.Serikali yangu imetenga fungumaalumu la pesa kwa ajili yakujenga hospitali na kliniki kwaajili ya kufanikisha mpango huo.

Pesa inafanya lolote na kwa viletunazo tuzitumie ipasavyo.Kwa muda huu, ndugu zanguweupe, msiyaweke moyoni manenoyanayosemwa dhidi yetu na walamsione aibu kuitwa wabaguzi nawala sijali kuitwa mhandisi namfalme wa ubaguzi.

Siwezikugeuka nyani eti kwa sababu mtukaniita nyani. Nitabaki kuwa nyotainayong’aa ... mtukufu Botha.

Leo naondoa mawingu; keshonitajaribu milima"

MWISHO WA NUKUU.

Inatafakarisha!
 
Alichosema Botha ni kichungu lakini ni ukweli mtupu

1. Nionyesheni nchi moja tu ya Afrika iliyotoka katika ukoloni imepiga hatua

2. South Africa ya Botha siyo hii ya Ramaphosa. ya mgao wa Umeme kama Tanzania.

3. Vijana wa Africa wanazama mediterenia wakielekea Ulaya kwasababu viongozi wa Africa hawana maarifa tena

4. Kuna nchi mmoja ya Africa , watu 393 kwenye jumba moja kuubwa lenye viyoyozi wana mishahara sawa au kuzidi wenzao wa Ulaya na America. Kundi hilo linajilipa hadi posho za kukaa kwenye viti vya kazi na nje ya jengo lao kume park magari yasiyoweza kumilikiwa na raia wa nchi za Ulaya na Marekani

Bajeti ya kundi hilo ni sawa na Bajeti ya Wizara YA Elimu inayohudumia raia wa nchi hiyo.

Botha kakosea wapi?

JokaKuu Pascal Mayalla
 
Alichosema Botha ni kichungu lakini ni ukweli mtupu

1. Nionyesheni nchi moja tu ya Afrika iliyotoka katika ukoloni imepiga hatua

2. South Africa ya Botha siyo hii ya Ramaphosa. ya mgao wa Umeme kama Tanzania.

3. Vijana wa Africa wanazama mediterenia wakielekea Ulaya kwasababu viongozi wa Africa hawana maarifa tena

4. Kuna nchi mmoja ya Africa , watu 393 kwenye jumba moja kuubwa lenye viyoyozi wana mishahara sawa au kuzidi wenzao wa Ulaya na America. Kundi hilo linajilipa hadi posho za kukaa kwenye viti vya kazi na nje ya jengo lao kume park magari yasiyoweza kumilikiwa na raia wa nchi za Ulaya na Marekani

Bajeti ya kundi hilo ni sawa na Bajeti ya Wizara YA Elimu inayohudumia raia wa nchi hiyo.

Botha kakosea wapi?

JokaKuu Pascal Mayalla
Hii speech ya P.w Botha itaishi miaka na miaka kama uamsho wa mtu mweusi popote alipo hapa ulimwenguni........

Botha akiwa hospital anaugua kabla ya kufariki Duniani aliwai kutembelewa na waandishi wa habari Moja ya swali walilo muuliza JE? ANAKITU CHOCHOTE ANACHO JUTIA KUHUSU MATAMSHI NA MWENENDO NA MTAZANO WAKE KUHUSU WATU WEUSI AKAJIBU
HAJUTUI CHOCHOTE WALA HAWEZI KUOMBA RADHI KWA MATAMSHI NA MATENDO YAKE....
 
Asante mkuu kwa kufukua huu uzi
Kwa hapa Tanzania Botha wetu ni CCM na serikali yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom