Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,708
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha, mama yuko restless, naona hata matamshi ya hayo maneno amekaririshwa.
Huyo unaemtetea wewe ni mkeo, kwani wewe humuoni anavyotetemeka, darasa la saba anajilazimisha kutumia kiingereza cha kukaririshwa, kwa nini asingetumia kiswahili akawa na mkalimani, ulimbukeni tu, kuonekana na yeye anajua kusoma kiingereza, ha ha ha ha, na nitamcheka mpaka atakapogundua kutumia lugha usioijua sio uungwana!! mtoto wangu wa chekechea anamtoa kamasi acha mke wanguKinacho kuchekesha hapo ni nini! acha ushabiki wenye msukumo wa gubu! mlete mkeo tusikie hotuba yake, tena tutamruhusu atumie kisw.
Mwanagu mwikumwiku huyo ni mke wa rais siyo mke wa mtu binafsi. Isitoshe huyo mama yenu unayetaka nimlete akija hapo hamtamuelewa maana kwake kiingereza ni lugha ya kwendea sokoni kila siku. Nadhani haya tuyaache hujui unaongea na nani. Cha msingi ni kwamba mama yenu amechemsha vibaya sana. Maana anapaniki si kawaida. Namuonea huruma mama yenu. Kwanini muda anaotumia kuzurura asiende shule?
Huyo unaemtetea wewe ni mkeo, kwani wewe humuoni anavyotetemeka, darasa la saba anajilazimisha kutumia kiingereza cha kukaririshwa, kwa nini asingetumia kiswahili akawa na mkalimani, ulimbukeni tu, kuonekana na yeye anajua kusoma kiingereza, ha ha ha ha, na nitamcheka mpaka atakapogundua kutumia lugha usioijua sio uungwana!! mtoto wangu wa chekechea anamtoa kamasi acha mke wangu
umeniquote mimi au mtu mwingine, sijamfananisha na amini, hata hivyo sina tabia ya wivu, labda wewe kama ni mke mwenzie ndio unamuonea wivu, ukweli lazima tusemeWivu kwa wake za wenzio utakua! Kaongea kitu gani kibaya cha kukufanya ufananishe hotuba yake na hotuba za Amini.
Ha ha ha ha, mama yuko restless, naona hata matamshi ya hayo maneno amekaririshwa.