Hotuba ya Muammar Ghadaffi Kwa umoja wa Waarabu, who's next after Saddam's death

Ha ha ha! Kikao cha viongozi wa kiarabu wakijazana upumbavu tu hapo. Zaidi ya 67% ya maneno yanayomtoka ni Israel, Jews, and the like na yanatamkwa kisharishari. Hawa jamaa walifika mahali wakavimbiwa hela za mafuta walizopelekewa na Western nao wakajihisi "wababe" wa dunia. Poor Gaddafi, poor Saddam, poor Arabs.
 
mkuu ku
Rest in peace Colonel Muammar Gaddaffi
na ile hotuba yake nyingine wakati maji yamefika shingoni inaumiza sana,alikua anaitisha maandamano ya wananchi wake kupinga kinachofanywa na waasi na watu wamagharibi,hakuna kiongozi shujaa kama huyu afrika
 
Ha ha ha! Kikao cha viongozi wa kiarabu wakijazana upumbavu tu hapo. Zaidi ya 67% ya maneno yanayomtoka ni Israel, Jews, and the like na yanatamkwa kisharishari. Hawa jamaa walifika mahali wakavimbiwa hela za mafuta walizopelekewa na Western nao wakajihisi "wababe" wa dunia. Poor Gaddafi, poor Saddam, poor Arabs.
naona uzijui siasa sa nje mkuu umejazwa pumba na hollywood
 
Back
Top Bottom