Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,503
- 217,762
True ! Makosa ya barabarani yanayosababisha vifo yamekuwa chanzo cha mapato ya nchi , zipo taarifa kwamba mmiliki wa shule Lucky Vicent kupelekwa mahakamani , bila shaka atapigwa faini ili kukuza uchumi wa nchi .Mheshimiwa Spika, Serikali inayojivunia mapato yatokanayo na makosa ya barabarani, inakosa uhalali wa kutuma salamu za rambirambi pindi ajali na vifo vinapotokea..........G.Lema 9/5/2017 Bungeni
Poor Tanzania !