Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Asante sana mkuu, hotuba nzuri sana na yenye changamoto kubwa kwa serikali
Pamoja sana kamanda lakini ulivyo quote unawapa shida watumiaji wa simu kama una weza kufuta itakuwa vema au unasemaje kamanda
Ehee,Chezea Jamiiforums wewe, kila kitu hadharani, hivi taarifa ya habari ya saa 2 usiku hapa ya nini tena, hotuba ndio hii hapa, vurugu za Mtwara tayari tunazo full e.t.c. Nikifika home tu, naenda kujiangalilizia CD tu za Marehem Kanumba, cause kila kitu nimeisha kipata hapa.
Hivi walivyo vilaza hata ukinukuu vya uongo watajua maana nina wasiwasi kama huwa wanajisomea somea..Nimegundua kumbe dawa ya Makinda na maccm ni kutumia nukuu za mwalimu Nyerere,maana
maneno hayohayo aliyonukuu JJ.Mnyika angeyasema yeye angeambiwa akayaondoe kwa sababu
yanaleta maudhi kwa wengine,lakini kwa sababu amenukuu toka kwa bosi wao wamenywea kimya'