zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Hivi unajua nyadhifa za juu kuanzia makamu wa rais mawaziri, nyadhifa jeshini ni dini gani wamejazwa huko nani kwanini?
Umetaja mbili tu, taja zote.
Hivi unajua nyadhifa za juu kuanzia makamu wa rais mawaziri, nyadhifa jeshini ni dini gani wamejazwa huko nani kwanini?
unataka nani aukuwekee, usipende kuwekewa kila kitu utakuja kuwekewa utabi..
kwanza
Kumbe CHADEMA waanzilishi wake walipatikana kutoka kila kanda kuu za tanganyika yaani kanda ya ziwa ya kusini ya magharibi, na ya mashariki kama ifuatavyo;
o Edwin Mtei (Arusha),
o Makani (Shinyanga),
o Marehemu Brown Ngwilupipi (Iringa),
o Edward Barongo (Kagera),
o Mary Kabigi (Mbeya),
o Menrad Mtungi (Kagera),
o Costa Shinganya (Kigoma),
o Evalist Maembe (Morogoro) na
o Steven Wassira (Mara).
Mbona uongozi wa serikali kuu ya ccm hatuisema ni ya kidini (kiislamu) hata baada ya wafuatao kushika nafasi zote muhimu za juu? Rais-mwislamu. makamu-mwislamu. jaji mkuu-mwislamu. mkuu wa polisi-mwislamu.rais na makamu wote wa zanzibar ni waislaamu. VS spika -mkristo. Waziri mkuu-mkristo.
Kwa uelewa wangu ninajua wote walioshika nafasi ni kutokana na uwezo wao na sio kigezo cha udini na ukabila.
Mimi ninafikiri mtafute sababu nyingine siyo hizo.
Nani anabisha kuwa Mbowe si jembe???
Unajuwa chadema ilianzishwa wapi? kama hujui, kaa kimya.
ilianzishwa wapi?