Hotuba ya Mbowe imedhihirisha wazi kuwa hakuna tofauti ya wafuasi wa Magufuli na Mbowe

Hata uwe na mapenzi ya namna gani lakini kwa huu umwamba aliokuwa akiufanya magufuli haihitaji nguvu za ziada kujua kwamba alikuwa dikteta
Watu hawajui, Samia kuna siku chadema na wapinzani watamliza kwa kutumia JPM. Na kama ccm haitakuwa makini sasa mwaka 2025 upinzani utachukua nchi kupitia kwa mgongo wa JPM. Hakuna kama Nyerere na JPM nchi hii hadi sasa
 
Mama anawajua hila zao.
Waliposusa Bunge la katiba .
Ana wa enjoy tu
Yaani kwa ule muelekeo wa bunge la Katiba Chadema kususa unashangaa?

Kutoka kuondoa rasimu ya Warioba na kuweka rasimu ya Chenge bado unashangaa?

Kutoka kumbadilisha spika Sitta na kumuweka Chenge bado unashangaa?

Yaani hukuiona kabisa nia ovu ya CCM kutaka kuhodhi lile bunge?

Utakuwa na uelewa mdogo sana wa masuala ya siasa zetu tofauti na nilivyokudhania.
 
Mtu yeyote mwenye akili timamu ataliona hili.

Sijui kwanini most people are addicted to this kind of thinking.

Ukisoma pambio Zito la sifa analopewa Mbowe, unajua tu hawa kweli Mbowe kwao ni mungu kabisa. Mbowe hajawahi kukosea kwa mujibu wafuasi wake kama ilivyo Magufuli.

Nadhani siku akipata free propaganda media kama alizokuwa nazo Msgufuli, labda hata Magufuli angerudi darasani.

Anyone watu wenye fikra huru ni bidhaa adimu sana dunia hii.
Siutoe na ya kwako?
 
Hata uwe na mapenzi ya namna gani lakini kwa huu umwamba aliokuwa akiufanya magufuli haihitaji nguvu za ziada kujua kwamba alikuwa dikteta
Hata nyumbani kwenu kama mkuu wa kaya (awe Baba au mama) siyo dikteta kaya haiendi ndipo unakutana na mashoga, wadangaji katika famili nk
 
Mtu yeyote mwenye akili timamu ataliona hili.

Sijui kwanini most people are addicted to this kind of thinking.

Ukisoma pambio Zito la sifa analopewa Mbowe, unajua tu hawa kweli Mbowe kwao ni mungu kabisa. Mbowe hajawahi kukosea kwa mujibu wafuasi wake kama ilivyo Magufuli.

Nadhani siku akipata free propaganda media kama alizokuwa nazo Msgufuli, labda hata Magufuli angerudi darasani.

Anyone watu wenye fikra huru ni bidhaa adimu sana dunia hii.
Wewe ndio unajiona una fikira huru wewe?!
 
Kama hutaki Mbowe asifiwe unatakiwa useme yapi aliyozungumza jana ni uongo, uje na ushahidi, sema Mbowe kakosea wapi na kwanini? vinginevyo unataka kulazimisha watu wafikirie unavyotaka wewe wakati mwenyewe haupo sahihi, umeandika hii kwa ubinafsi wako na chuki zisizo na sababu kwa Mbowe.

Unajisifu na fikra huru kivipi wakati kimsingi unaleta udikteta wa kutaka kutawala fikra za wenzio? wacha utoto.
Sina maana mtu asimsifie mtu mwingine. Ila hiki kinchofanyika ni kutukuzana na kuabudiana.

MATAGA wanamwita Magu: Jiwe, Chuma, Jemedari, Shujaa etc

CHADEMA wnamwita Mbowe: Kamanda, Mwamba, etc

What's the diffrerence ?
 
Watu hawajui, Samia kuna siku chadema na wapinzani watamliza kwa kutumia JPM. Na kama ccm haitakuwa makini sasa mwaka 2025 upinzani utachukua nchi kupitia kwa mgongo wa JPM. Hakuna kama Nyerere na JPM nchi hii hadi sasa
Acha kumfananisha nyerere
 
Mbowe aliuwa watu? Alitesa watu? Alipora heka za watu kinguvu? Mtoa mada huna fact kaa kimya.
Hajapata madaraka hayo. Hata Magufuli kabla ya Urais hakuwahi kuua watu hivyo

Ila kwa madaraka madogo tu aliyonayo ya chama, Mbowe ameumiza watu wengi sana,na wengine mpaka leo wanauguza maumivu.
 
Sina maana mtu asimsifie mtu mwingine. Ila hiki kinchofanyika ni kutukuzana na kuabudiana.

MATAGA wanamwita Magu: Jiwe, Chuma, Jemedari, Shujaa etc

CHADEMA wnamwita Mbowe: Kamanda, Mwamba, etc

What's the diffrerence ?
Kumbe unaumizwa roho na majina tu, nikadhani una hoja ya kimantiki, anyway kwangu bora mwamba kuliko huyo alieitwa "yesu".
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom