Nakupa mwaka mmoja tu. Iweke pahala pazuri hii comment yakoAnayemshabikia magufuli ni kwasababu ya ujinga tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakupa mwaka mmoja tu. Iweke pahala pazuri hii comment yakoAnayemshabikia magufuli ni kwasababu ya ujinga tu.
Hata miaka 5 ijayo magufuli hawezi kuwa shujaa labda kwa wajinga.Nakupa mwaka mmoja tu. Iweke pahala pazuri hii comment yako
Watu hawajui, Samia kuna siku chadema na wapinzani watamliza kwa kutumia JPM. Na kama ccm haitakuwa makini sasa mwaka 2025 upinzani utachukua nchi kupitia kwa mgongo wa JPM. Hakuna kama Nyerere na JPM nchi hii hadi sasa
Yaani kwa ule muelekeo wa bunge la Katiba Chadema kususa unashangaa?Mama anawajua hila zao.
Waliposusa Bunge la katiba .
Ana wa enjoy tu
Siutoe na ya kwako?Mtu yeyote mwenye akili timamu ataliona hili.
Sijui kwanini most people are addicted to this kind of thinking.
Ukisoma pambio Zito la sifa analopewa Mbowe, unajua tu hawa kweli Mbowe kwao ni mungu kabisa. Mbowe hajawahi kukosea kwa mujibu wafuasi wake kama ilivyo Magufuli.
Nadhani siku akipata free propaganda media kama alizokuwa nazo Msgufuli, labda hata Magufuli angerudi darasani.
Anyone watu wenye fikra huru ni bidhaa adimu sana dunia hii.
Na kweli...!Ukiona mtu yupo juu ya gari anahutubia na anakula mahindi jua huyo ni tapeli
Bora Hashimu Rungwe kuliko huyu anayetuadithia kapata chanjo.Hashim Rungwe hastahili kupendwa? Maana ni kama umeongea kwa kejeli kwa mzee
Ni kweli kabisa kakaNchi hii baada ya MwendazakeSEIF SHARRIF HAMAD... .Mbowe ndo Mpinzani na akili zk aliebaki
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Ulipigika kwa ufisadi wako? Pole na badoHata miaka 5 ijayo magufuli hawezi kuwa shujaa labda kwa wajinga.
Hata nyumbani kwenu kama mkuu wa kaya (awe Baba au mama) siyo dikteta kaya haiendi ndipo unakutana na mashoga, wadangaji katika famili nkHata uwe na mapenzi ya namna gani lakini kwa huu umwamba aliokuwa akiufanya magufuli haihitaji nguvu za ziada kujua kwamba alikuwa dikteta
Wewe ndio unajiona una fikira huru wewe?!Mtu yeyote mwenye akili timamu ataliona hili.
Sijui kwanini most people are addicted to this kind of thinking.
Ukisoma pambio Zito la sifa analopewa Mbowe, unajua tu hawa kweli Mbowe kwao ni mungu kabisa. Mbowe hajawahi kukosea kwa mujibu wafuasi wake kama ilivyo Magufuli.
Nadhani siku akipata free propaganda media kama alizokuwa nazo Msgufuli, labda hata Magufuli angerudi darasani.
Anyone watu wenye fikra huru ni bidhaa adimu sana dunia hii.
Sina maana mtu asimsifie mtu mwingine. Ila hiki kinchofanyika ni kutukuzana na kuabudiana.Kama hutaki Mbowe asifiwe unatakiwa useme yapi aliyozungumza jana ni uongo, uje na ushahidi, sema Mbowe kakosea wapi na kwanini? vinginevyo unataka kulazimisha watu wafikirie unavyotaka wewe wakati mwenyewe haupo sahihi, umeandika hii kwa ubinafsi wako na chuki zisizo na sababu kwa Mbowe.
Unajisifu na fikra huru kivipi wakati kimsingi unaleta udikteta wa kutaka kutawala fikra za wenzio? wacha utoto.
Acha kumfananisha nyerereWatu hawajui, Samia kuna siku chadema na wapinzani watamliza kwa kutumia JPM. Na kama ccm haitakuwa makini sasa mwaka 2025 upinzani utachukua nchi kupitia kwa mgongo wa JPM. Hakuna kama Nyerere na JPM nchi hii hadi sasa
Hajapata madaraka hayo. Hata Magufuli kabla ya Urais hakuwahi kuua watu hivyoMbowe aliuwa watu? Alitesa watu? Alipora heka za watu kinguvu? Mtoa mada huna fact kaa kimya.
Sasa ulitaka afakimie Faru John aanguke kwenye ngazi kama Mbowe
Hahaaa mkuu daahUkiona mtu yupo juu ya gari anahutubia na anakula mahindi jua huyo ni tapeli
Kumbe unaumizwa roho na majina tu, nikadhani una hoja ya kimantiki, anyway kwangu bora mwamba kuliko huyo alieitwa "yesu".Sina maana mtu asimsifie mtu mwingine. Ila hiki kinchofanyika ni kutukuzana na kuabudiana.
MATAGA wanamwita Magu: Jiwe, Chuma, Jemedari, Shujaa etc
CHADEMA wnamwita Mbowe: Kamanda, Mwamba, etc
What's the diffrerence ?
Kama wewe ulivyo mtu wa ajabu maana hadi sasa bado una mahaba ya mwendazake.Wako wanaompenda Hashim Rungwe kufa kuoza
Yaani mioyo yetu ina mahaba