Hotuba ya Mbowe imedhihirisha wazi kuwa hakuna tofauti ya wafuasi wa Magufuli na Mbowe

Mkaruka

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
19,620
34,053
Mtu yeyote mwenye akili timamu ataliona hili.

Sijui kwanini most people are addicted to this kind of thinking.

Ukisoma pambio zito la sifa analopewa Mbowe, unajua tu hawa kweli Mbowe kwao ni Mungu kabisa. Mbowe hajawahi kukosea kwa mujibu wafuasi wake kama ilivyo Magufuli.

Nadhani siku akipata free propaganda media kama alizokuwa nazo Magufuli, labda hata Magufuli angerudi darasani.

Anyone watu wenye fikra huru ni bidhaa adimu sana dunia hii.
 
Yaani sasa hivi CHADEMA kama chama naona akili zote wamemkabidhi Kigogo, yaani wamejisahau kabisa. Utafikiri Kigogo ndio mwenyekiti wa chama.

No wonder Lissu alisema tena kwenye international podium kuwa yule bodyguard mweusi wa Magu kafariki kwasababu aliambiwa na kigogo 🙂

Huyu Kigogo alimpobda kikakimilifu Mbowe wakati anagombea uenyekiti awamu ya 4 mpaka wafuasi wa CHADEMA wakaanza kumshambulia mpaka kwenye magazeti.

Hao kina Yericko Nyerere majasusi wa chama walisema account ya kigogo inaendeshwa na Zitto na watu wengine, jumla 4.


Leo, Kigogo ndio trendsetter wa agenda za CHADEMA😂😂😂

Dunia hii, kuwa uyaone.
 
Watu hawajui, Samia kuna siku chadema na wapinzani watamliza kwa kutumia JPM. Na kama ccm haitakuwa makini sasa mwaka 2025 upinzani utachukua nchi kupitia kwa mgongo wa JPM. Hakuna kama Nyerere na JPM nchi hii hadi sasa
Mwache mama ashindwe ku perform ndo atajua maana ya upinzani na chadema Kwa ujumla ilimradi washasema mapema alikuwa mchapakazi.
 
Yaani sasa hivi CHADEMA kama chama naona akili zote wamemkabidhi Kigogo, yaani wamejisahau kabisa. Utafikiri Kigogo ndio mwenyekiti wa chama.

No wonder Lissu alisema tena kwenye international podium kuwa yule bodyguard mweusi wa Magu kafariki kwasababu aliambiwa na kigogo 🙂

Huyu Kigogo alimpobda kikakimilifu Mbowe wakati anagombea uenyekiti awamu ya 4 mpaka wafuasi wa CHADEMA wakaanza kumshambulia mpaka kwenye magazeti.

Hao kina Yericko Nyerere majasusi wa chama walisema account ya kigogo inaendeshwa na Zitto na watu wengine, jumla 4.


Leo, Kigogo ndio trendsetter wa agenda za CHADEMA😂😂😂

Dunia hii, kuwa uyaone.

Mama anawajua hila zao.
Waliposusa Bunge la katiba .
Ana wa enjoy tu
 
Ukiona mtu yupo juu ya gari anahutubia na anakula mahindi jua huyo ni tapeli
Alivyokua akiwahadaa, wanyonge wake..
IMG_20210409_174809.jpg
 
Kama hutaki Mbowe asifiwe unatakiwa useme yapi aliyozungumza jana ni uongo, uje na ushahidi, sema Mbowe kakosea wapi na kwanini? vinginevyo unataka kulazimisha watu wafikirie unavyotaka wewe wakati mwenyewe haupo sahihi, umeandika hii kwa ubinafsi wako na chuki zisizo na sababu kwa Mbowe.

Unajisifu na fikra huru kivipi wakati kimsingi unaleta udikteta wa kutaka kutawala fikra za wenzio? wacha utoto.
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom