Hotuba ya Lipumba Diamond kuhusu mwafaka

Mpita Njia

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
6,997
1,163
Kama nilivyoipokea, naomba kuwasilisha
 

Attachments

  • HOTUBA YA LIPUMBA DIAMOND.doc
    103.5 KB · Views: 145
Shukrani Mpita Njia. Inaonekana CCM walikuwa wanajua kwamba huu ni mchezo wa kuigiza toka mwanzo, It will be very interesting kujua hivyo vikao 21 katika miezi yote 14 ni kiasi gani cha kodi zetu kimetumika kama ghrama za kuendeshea hivi vikao, funny enough bado wanataka vikao viendelee!
 
Lipumba need a full time job. Huyu jamaa amekuwa mwenyekiti wa hiki chama kwa miaka 15.

Jamani hivi cheo cha Lipumba ni lifetime position? Maana naona ameshakuwa kiongozi tangu watoto watakao vote 2010 walikuwa na miaka 2, mpaka sasa ni 16years
 
Kingunge alikaa miezi sita tuu, na je mwalimu alikuwa mwenyekiti wa chama kwa muda gani vile......... hope mtanzania atakuwa na majibu.......
 
Lipumba need a full time job. Huyu jamaa amekuwa mwenyekiti wa hiki chama kwa miaka 15.

Jamani hivi cheo cha Lipumba ni lifetime position? Maana naona ameshakuwa kiongozi tangu watoto watakao vote 2010 walikuwa na miaka 2, mpaka sasa ni 16years

Ungali jijengea heshima hapa kama ungalichangia hoja ambayo ni hotuba badala ya kuanza ku divert issue hii na kuleta unazi .
 
Hatupo hapa kurudia makosa ya mwalim. Mwalim alikaa madarakani kwa karne mbili au zaidi. Lakini that was past, Lipumba anataka kupeleka chama kama grocery store business.

Maneno aliyoyasema hapo juu yana make sense, i didnt argue about that. Ninachobisha ni yeye Lipumba kuendelea kuplay politics wakati ndani ya Zanzibar CUF na CCM awaziki makaburi mamoja, wakati CUF na CCM hawaoi nyumba mmoja, wakati watoto wa CUF na CCM hawachezi makida makida kamba mmoja. Hilo ndio ninalolizungumzia mimi.

Lipumba ameshaongoza CUF kwa miaka 15 sasa, hii inanifanya nihoji jee CUF haina viongozi wapya? Au Lipumba is the only qualified candidate in that party? Mimi naona Lipumba anawadhalilisha watanzania wote kwa kuwaoana vilaza na hawana uwezo wa kuongoza, hivyo basi ameng'ang'ania kushikilia madaraka kwa miaka 16 sasa.

I know CCM ni wezi and they do wrong kwa Wanzazibar lakini CUF jee wanawatendea haki wa Zanzibar? Status quo ndio inatumaliza viongozi wa dunia ya tatu, they believe kwamba wao ni wao na hakuna wengine.

I challange Lipumba kuachia madara na kuwa senior member wa chama, kwani ameshindwa. Amegombea 1995 ameshindwa, 2000 ameshindwa, 2005 ameshindwa. Sasa what make him the best candidate? Please don't jump in the badwagon ya CCM wabaya wakati CUF viongozi wao ni wamependa madaraka mania.
 
hii tabia ya kuachia watu waongoze chama bila kuabadilishana au kufanya uchaguzi unaoelweka au kusimamisha mtu mmoja kila uchaguzi wa raisi ndio mwanzo wa kutengeneza madkteta ...imagine lipumba anakuja kuwa raisi,kuna mtu wa CUF anaweza kumwambia kitu kweli?
 
Mimi naona Lipumba anawadhalilisha watanzania wote kwa kuwaoana vilaza na hawana uwezo wa kuongoza, hivyo basi ameng'ang'ania kushikilia madaraka kwa miaka 16 sasa.

I know CCM ni wezi and they do wrong kwa Wanzazibar lakini CUF jee wanawatendea haki wa Zanzibar? Status quo ndio inatumaliza viongozi wa dunia ya tatu, they believe kwamba wao ni wao na hakuna wengine.

Zanzibar inahitaji "alternative political forces", na uongozi wa damu changa yenye uwezo wa kuendeleza mapambano ya kweli. Lete CV zako mzee...............Kibarua kipo huko.
 
Back
Top Bottom