security guard
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 799
- 603
- Thread starter
- #1
Jk leo amezungumza mengi kwenye sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa CCM lakini kwa wale wadau wanaojua siasa kwa kina basi amezungumzia masuala ya Urais na kusema CCM inataka mtu safi hivyo CCM inaweza kushawishi mtu kugombea na sio lazima kuwapa wale ambao wanautaka urais kwa lazima, ukimsikiliza kwa makini JK ameumia muda mwingi kusifia kazi nzuri anayofanya Kinana.
Mwenyekiti wa CCM Taifa,Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akivishwa skafu na kijana wa chipukizi mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Maji Maji kuadhimisha sherehe za miaka 28 ya kuzaliwa CCM ambapo Kitaifa zilifanyika mkoani Ruvuma na kuhudhuliwa na Viongozi mbali mbali.
Mwenyekiti wa CCM Taifa,Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikatiza uwanjani baada ya kumaliza zoezi la kukagua gwaride la chipukizi za miaka 38 ya kuzaliwa CCM ambapo Kitaifa zilifanyika mkoani Ruvuma na kuhudhuliwa na Viongozi mbali mbali wa ndani na nje ya nchi.
Vijana wa Chipukizi wakionyesha ukakamavu wakati wa sherehe za kuzaliwa CCM zilizofanyika kwenye uwanja wa Maji Maji mjini Songea mkoani Ruvuma.
Mwenyekiti wa CCM Taifa,Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wananchi wa Songea mjini kwenye uwanja wa Maji Maji wakati wa kuadhimisha sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa CCM ambapo Kitaifa zilifanyika mkoani Ruvuma na kuhudhuliwa na Viongozi mbali mbali pamoja na wananchi.
Kepteni John Komba akiongoza bendi ya TOTkutumbuiza wananchi wa Songea mjini waliofurika kwa wingi kwenye maadhimisho ya sherehe za miaka 38 kuzaliwa kwa CCM.
Diamond akiwapungia mkono wananchi waliofurika kwenye uwanja wa Maji Maji wakati alipokuwa akiwasili tayari kutumbuiza kwenye sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa CCM.
Diamond akiimba Asu pamoja na Abdul Msimbano kwenye sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM.
Msanii Diamond akiwaburudisha wananchi kwenye uwanja wa maji maji.
- Awataka wana CCM kuepuka fedha za moto
- Kila mmoja akumbuke ahadi zake
- Awataka wana CCM kuwa mstari wa mbele kuhimiza watu kujiandikisha
- Anukuu maneno ya Baba wa Taifa yanayosema 'Rais wa nchi yetu anaweza toka Chama chochote lakini Rais bora atatokea CCM'
Mwenyekiti wa CCM Taifa,Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akivishwa skafu na kijana wa chipukizi mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Maji Maji kuadhimisha sherehe za miaka 28 ya kuzaliwa CCM ambapo Kitaifa zilifanyika mkoani Ruvuma na kuhudhuliwa na Viongozi mbali mbali.
Mwenyekiti wa CCM Taifa,Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikatiza uwanjani baada ya kumaliza zoezi la kukagua gwaride la chipukizi za miaka 38 ya kuzaliwa CCM ambapo Kitaifa zilifanyika mkoani Ruvuma na kuhudhuliwa na Viongozi mbali mbali wa ndani na nje ya nchi.
Vijana wa Chipukizi wakionyesha ukakamavu wakati wa sherehe za kuzaliwa CCM zilizofanyika kwenye uwanja wa Maji Maji mjini Songea mkoani Ruvuma.
Mwenyekiti wa CCM Taifa,Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wananchi wa Songea mjini kwenye uwanja wa Maji Maji wakati wa kuadhimisha sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa CCM ambapo Kitaifa zilifanyika mkoani Ruvuma na kuhudhuliwa na Viongozi mbali mbali pamoja na wananchi.
Kepteni John Komba akiongoza bendi ya TOTkutumbuiza wananchi wa Songea mjini waliofurika kwa wingi kwenye maadhimisho ya sherehe za miaka 38 kuzaliwa kwa CCM.
Diamond akiwapungia mkono wananchi waliofurika kwenye uwanja wa Maji Maji wakati alipokuwa akiwasili tayari kutumbuiza kwenye sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa CCM.
Diamond akiimba Asu pamoja na Abdul Msimbano kwenye sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM.
Msanii Diamond akiwaburudisha wananchi kwenye uwanja wa maji maji.