kepler telescope
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 904
- 599
Kwa hili Mhe. Lema, kongole. Pia uongozi na cdm mnawajibika kwa familia ya marehemu. Alikuwa mtumishi wa cdm na si Mhe. Lema.Mungu akubariki Mh Lema kwa kumchukua na kumlea mtoto wa Marehemu Mawazo.