Mdutch
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 214
- 77
Checklist:
1. Je, umeona taarifa yoyote mpya kwenye hotuba ya Msigwa?
2. Je, umeona utatuzi wowote wa changamoto za kitaifa kwenye hotuba hiyo?
3. Je, kusomwa kwa hotuba kama hii kunaweza kubadilisha nini nchini?
4. Je, hotuba hii isingesomwa kuna jambo lolote lingeharibika?
5. Je, hotuba hiyo imemuwezesha mwananchi kujua kama kiwango cha fedha zilizotengwa kwenye wizara husika kinatosha?
6. Je, hotuba hiyo imekuwezesha kujua meneo gani yanatakiwa kupewa vipaumbele na wizara hiyo katika mwaka huu wa fedha?
Isome kwa makini with objectivity utajijibu mwenyewe. Kama una urojo kichwani mwako shauri yako!