DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Kinana ni jangili
Rumanyika umenena vema kweli siku hizi wanaoendesha bunge ni CHADEMA,wanacheza ngoma ya CDM,hata Spika nae hoi,analeta ushabiki eti anasema kuwa kaeni kimya kama wenzenu walivyokuwa kimya,je kama hawajui kutumia kanuni hao maccm hiyo ni shauri yao sio kufanya ulinganifu.Maccm yameuguzwa ugonjwa mbaya sana na cdm.. Yamekua na kazi ya kujibu hotuba za cdm badala ya kujielekeza ktk hotuba ya wizara husika.. Now cdm they run bunge...
Hotuba imejaa mipasho.
Ufafanuzi wa ishu ya tembo umetolewa na Msigwa ameona aibu kusema uongo wa kupotosha.
Mzushi Nchimbi mbona hawajajibu hoja mbalimbali zilizoibuliwa na hotuba ya kambi rasmi ya Upinzani?
Muda haujaruhusu
Hotuba ya Msigwa imejaa UDAKU kwa sababu haina taarifa mpya na haijabadilisha chochote katika kuishauri serikali au kupendekeza maboresha.
Hotuba ni ya kulia lia tu tangu mwanzo mpaka mwisho.
Meli iliyobeba meno haimilikiwi na Kinana.
Kinana ni shareholder wa shipping agency. Hii ni kampuni inayoihudumia meli sio kuimiliki.
Kampuni hii haihusiki na ukaguzi wa mizigo inayosafirishwa na meli.
Watuhumiwa wa kesi ya meno ya tembo walifikishwa mahakamani mwaka 2009.
Msigwa anajua yote haya ila anapotosha kwa makusudi ili kuwalaghai watu.
Meli iliyobeba meno haimilikiwi na Kinana.
Kinana ni shareholder wa shipping agency. Hii ni kampuni inayoihudumia meli sio kuimiliki.
Kampuni hii haihusiki na ukaguzi wa mizigo inayosafirishwa na meli.
Watuhumiwa wa kesi ya meno ya tembo walifikishwa mahakamani mwaka 2009.
Msigwa anajua yote haya ila anapotosha kwa makusudi ili kuwalaghai watu.
Wacha ulongo watuhumiwa wa kesi hiyo wote wapo nje na pia ya 2012, wahusika ni sharaf pia soma vinzuri hotuba wacha muhemko.
Hotuba imejaa mipasho.
Ufafanuzi wa ishu ya tembo umetolewa na Msigwa ameona aibu kusema uongo wa kupotosha.