utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
Very true by 100%Hotuba bora kabisa iliyovunja rekodi tangu bunge la budget lianze
Andika sana ,ongea.Sema lakini utajikuta mwenyewe na chatu"
Mbona watokwa na povu kiasi hicho!?Wanachojadili ni bajeti ya wizara.Hiyo hotuba ya upinzani imejaa ujinga mtupu.Kama kambi ya upinzani alitakiwa aje na bajeti mbadala siyo porojo tupu alizoandika.Alitakiwa kama waziri kivuli aje na bajeti yake inayoonyesha yeye wizara yake ingetumia shilingi ngapi,pesa shilingi ngapi zingeelekezwa maeneo yapi.Upinzani shame on you.Na nimefuatilia majadiliano ya bajeti hadi sasa hakuna waziri kivuli anayekuja na bajeti mbadala ya upinzani ya wizara husika.Wote wanakuja na porojo tupu ambazo zinamkera hadi spika kusema porojo zingine ondoa.
Hotuba nzima haionyeshi chochote cha pesa ni porojo kuanzia mwanzo hadi mwisho.Kwa mwendo huu watanzania tukiri wazi upinzani TANZANIA hatuna tuna wapiga porojo.Yaani hakuna waziri kivuli aliyeandaa bajeti pinzani ya wizara yake hata mmoja.wote wamekalia porojo.Upinzani mnakula pesa za walipa kodi bure
Maskini weeeee hivi ukimwita mkeo mjadili bajeti unajua maana yake? Mke akisema Pesa tuliyopata nusu nipe niende saluni wewe unamjibu hapana tupeleke watoto shule!!! Hapo mbilinyi ni wapi umeona kajadili bajeti? Katika hotuba ya bajeti ya hovyo kuliko zote zilizowahi tokea ni hii ya mbilinyi hakuna mahali kajadili bajetiHotuba bora kabisa iliyovunja rekodi tangu bunge la budget lianze
Aisee hapo mtatoka mnasema Mbilinyi Kajadili bajeti ya wizara!!!! Waziri kapeleka bajeti inasema kifungu hiki na hiki wizara itatumia pesa hii na ile yeye badaya ya kujikita kwenye bajeti anakuja na porojo za kurap kama za muziki wa kizazi kipya!! Kapoteza iopportunity muhimu mno.Nakuhurumia inaonyesha huelewi bajeti ni nini na unapojadili bajeti unajadili kitu gani.Mbona watokwa na povu kiasi hicho!?
Kumbe ukweli mchungu eti?
Mungu mbariki Sugu .Hotuba bora kabisa iliyovunja rekodi tangu bunge la budget lianze
Utajadili bajeti gani huku watu wanauliwa na kutekwa na hatua hazichukuliwi ?Aisee hapo mtatoka mnasema Mbilinyi Kajadili bajeti ya wizara!!!! Waziri kapeleka bajeti inasema kifungu hiki na hiki wizara itatumia pesa hii na ile yeye badaya ya kujikita kwenye bajeti anakuja na porojo za kurap kama za muziki wa kizazi kipya!! Kapoteza iopportunity muhimu mno.Nakuhurumia inaonyesha huelewi bajeti ni nini na unapojadili bajeti unajadili kitu gani.
Hanna bajeti aliyojadili kwenye hotuba yake aache ubunge akaendelee tu na muziki sasa hivi pengine angekuwa juu kuliko Diamond kimapato na umaarufu.Very disappointingNimesoma hotuba yote sijui ni maneno gani makali yapo humu mpaka kupelekea Zungu kukataa hotuba hii kuwasilishwa bungeni
Uhuru wa kujieleza haumaanishi kuwa tujieleze yenye maana pekee bali kujua kuwa kila mmoja wetu ni mjinga, mwenye busara au mwerevu kiasi gani. Wewe ulijua kuwa kuna watu zaidi ya 9,000 serikalini wenye vyeti feki!? Lakini wenyewe walikuwa wanajijua na baadhi yetu tuliwajua na tunawajua wengi tu waliobaki!mnayafanya wenyewe chumbani mkija huku nje mnawageuzia wengine. poor you