Hotuba ya Hugo Chavez 1994 kwenye chuo cha Havana ilivyomliza Fidel Castro

junky

JF-Expert Member
May 11, 2017
413
976
Mwaka 1992 Lt.Hugo Chavez alijaribu kufanya jaribio la mapinduzi kumuondoa rais Andre Carlos Perez madarakani lakini alikamatwa na wana usalama baada ya watiifu wa Rais Carlos Perez kuzima mapinduzi yale.wana usalama wakimshikilia Chavez

1904f88ea3d8c26a71f02f7e55517d38.jpg


Hugo Chavez akiwa jela

1d8af22e0daa74be1754579b4583a172.jpg


Mwaka 1994 Hugo Chavez aliachiwa huru na kufutiwa mashitaka baada ya Rais Perez kuondoshwa madarakani kwa amri ya mahakama sababu ya ufisadi wa 250Million bolivars aliyokutwa nayo.


Chavez ambaye alikuwa director wa movimento Bolivariano revolucianor 200,jina ya taasisi imetokana na simor Bolivar shujaa aliyeondoa utawala wa kispaniola Venezuela na S.America kwa ujumla na Bolivariano revolucianor ndio waliojaribu kufanya mapinduzi mara mbili ilo kubadilisha mfumo wa kiutawala na kiuchumi wa Venezuela lakini walifeli lakini 1999 waliweza kuingia madarakani kwa njia ya kura ,alivyotoka jela alistaafu kazi ya jeshi akiwa mdogo na alielekea Cuba na kutoa speech kwenye chuo cha Havana.

Speech hiyo ilimliza Fidel Castro

 
R.I.P EL COMANDATE HUGO RAFAEL CHAVEZ FRI'AS . ..Mpigania haki wa Kweli aliyekataa kua kibaraka wa wazungu katika uchumi na katika siasa ....wafuasi wa ACCACIA na vibaraka wao..nazan somo la Chavez limewaingia ...oneni dream ya Natural Resources za Venezuela ambazo Hugo alianza kuzpgania 1990's na kwa miaka Mingi akawa kimbilio la Latin America countries including Cuba ambao walkua na vikwazo vya wamarekani mpaka USA walipokuja kumpoison CHAVEZ Lakini ameacha rasilimali chini ya wa Venezuela si wazungu. ..JPM anavyowaambia vita ya Uchumi ni Ngumu muelewe....kuna watu kwa jinsi wasivyo wazalendo kwa nchi wangezaliwa nchi kama China sijui ingekuaje
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom