Slaa nakukubali saaaaaanaa na utabaki raisi moyoni kwangu daima. Siasa natupa Kule hadi atapotokea mtu sahihi kama wewe
kura yangu bado iko ukawa hata wakiweka jiwe, hayo mengine anayajua yeye na hao walio sponsor hiyo pess conference
Siku Zote MFALME Wa NYIKA Simba AKIUNGURUMA Lazima Mbuga Yote ITAZIZIMA. Dr. Slaa KAHAMISHA RASMI UPEPO Wa KISIASA NCHINI Tanzania Na Sasa Naiona NJIA Ya Dr. John Pombe Joseph Magufuli NYEUPE IKULU. Hakika ALICHOWAFANYIA LEO CHADEMA Na UKAWA Ni Kuwavua Nguo Kabisa Na Kwa UADILIFU ULIOTUKUKA Wa Dr. Slaa NINA UHAKIKA Tena Wa Zaidi Ya 100% Kuwa KILICHOSEMWA CHOTE Na Dr. Slaa Ni UKWELI MTUPU Na Ili Kukuhakikishia Kuwa Jamaa Hana Masihara Na Hajapata PhD Yake Kwa Kuungaunga Na Anajiamini Amekuambia Kuwa Kama Kuna Yoyote Ktk Hao Aliowatuhumu au Kuwataja Na Kuyasema AJITOKEZE Hadharani ILI Awazidishie Watanzania USHAHIDI Mwingine Kwani Leo Hajatoa SILAHA Zote.
Kama kweli Slaa yuko serious, kwanini aliomba orodha ya mtaji wa Lowasa wakati akijua Lowasa ni mchafu?
Nimegutuka pale anamaliza tuu wakaweka kibwagizo cha CCM mbele kwa mbele, hapo ndo wameharibu kila kitu.
Hapa tunasonga mbele hakuna kujibu kitu huyo mzee keshamaliza yake.
Maswali yako yooooote Dr. kayajibu ktk maelezo yake, sijui ni nini hukuelewa??Mi Hata Moja Halikuniingia Kichwani Sanasana Kaniacha Na Mashaka Makubwa Juu Yake, Mfano, Anasema Ya Ni Mwadilifu Na Msema Ukweli, Huo Ukweli Ameuanza Lini? Huyu Si Alikuwa Padri? Kwanini Aliusaliti Upadri Na Kukimbilia Ndoa? Je Huyu Baada Ya Kukimbilia Ndoa Si Ndo Huyu Huyu Akamsaliti Mkewe? Mbaya Zaidi Akakimbilia Kuishi Na Mke Wa Mtu, Sasa Huo Uadilifu Kipindi Hicho Hakuwa Nao? Haya Leo Anasema Hakuwa Akilipwa Mshahara Milion Saba, Je Kama Kweli Yeye Ni Mkweli Na Mwadilifu Kwanini Hakukanusha Tangu Kipindi Kilekile Pale Chadema Ilipotangaza Kuwa Analipwa Milioni Saba? Kwa Kunyamaza Kwake Alishiri Kuunga Mkono Uongo! Sasa Tutamwaminije Kwa Haya Aliyozungumza Ikiwa Tayari Yeye Mwenyewe Siyo Msafi Ingawa Anataka Tumwamini Kuwa Ni Mwadilifu?