Mkuu siyo kukuhasi tu, na kupumulia chogoni, hivi hujui kwa nini mnaitwa chogo kaffir wakt mko kwenu? washenzi sana wale!!. Kwanza huku walichapwa bakora na kufunga vijumba vyao vile vya sala, ukiwapenda sana na kuwafuatafuata dalili ndo kama hizi shekh!.
Mkuu uko sahihi but kusema kweli hawa mitume wenu ni wanyonyaji wakubwa, wakoloni sijui yesu wa vatican na mtume wa waarabu ni makatili sana, walituma watoto wao waje kutufanya watumwa? hawafai.Nani
Labda umesahau, kwa imani yetu waislamu ndio lazima tuwapende waarabu. Mtume wetu (SAW) alikuwa muarabu. Au umesahau ? Na uyo mtoa hutba pia ana sijda usoni, sidhani kama atakubaliana na wewe izo pumba unazoandika hapa. Labda aplay along tuu kwa kujitoa fahamu.
Labda nikudokeze tuu, adhana unayoijua wewe waarabu wote na waislamu wote wanatumia kuitana kwenda kusali nakupa kitendawili katafute nani mtunzi wake. Nikupe hint tuu alikuwa mtu mweusi akiitwa Bilal (RA), sasa hizo kasumba zako za kuhasi watu sijuwi umezitolea wapi. Kajifunze kidogo historia ya uislamu na watu weusi halafu ndio uje hapa na hoja za kipuuzi.
Maalim weka mguu kati mti waajajaaa. Sha mpa haki kitambooo!Kampe haki yake kardinali wako kwanza
Mkuu uko sahihi but kusema kweli hawa mitume wenu ni wanyonyaji wakubwa, wakoloni sijui yesu wa vatican na mtume wa waarabu ni makatili sana, walituma watoto wao waje kutufanya watumwa? hawafai.
kumuuza binadamu mwenzio km mnyama, kuhasi,kutumikisha mwanadamu mwenzio?
Maalim weka mguu kati mti waajajaaa. Sha mpa haki kitambooo!
Pumba tupu, ukiona mtu hakubaliani na mawazo yako unambandika lable ni muarabu. Nilikwambia mwanzoni mimi sio mwarabu wala si mpemba, unaonekana una chuki binafsi na hayo makabila.Bakora tu! Then waenda zao! Tena wanajitetea! Wanabisha! Hiyo ndiyo adhabu ya kizalendo! Duniani kote!
Kuliko risasi za moto! Vitanzi! Kupasuliwa mama mjamzito live ili kujifurahisha, Bora mreno mliye mwalika kupigana naye alikuwa na utu kuliko (Europids) waarabu wa kuchovya. Km Tiptip!
Ulifaidi vya kikoloni hata hujui madhira walopata weusi, Kwa nini mna tamaa ya kupenda vyetu? Tutalinda hatulali
Hata neno "Arabs" siyo asili yenu. Israel ya leo wanajua pale siyo kwenu, ndo maana wabishi kutoka pale!
Angalia mkiwa zanzib mwaitwa wapemba, mkiwa S,africa coloured, sijui latino, mullatoes, nk.
Mkoloni mweupe tena europids???? narudia sijakosea tutalinda muungano wa Africa kwa gharama kubwa sana bora wote tufe tukiulinda. Siyo Zanzibar tu.... Aluta contin...!!!!