Hotuba ya Boni Yai, Mwenyekiti Kanda ya Pwani (Chadema) imenitoa machozi

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Dec 8, 2019
8,451
9,657
Wakuu wangu JF niwasalim kila mmoja kwa imani yake

Poleni wafiwa wote kwa kuondokewa na wapendwa wenu kisa tu uchaguzi Serikali za mtaa, nimetoka katika maombi binafsi na moja ya maombi yangu leo nimemwambia Mungu wangu kutimiza kile alinena nami ndani ya siku 67. Katika maombi yangu leo nimewasha mishumaa 7 kuomba azipumzishe roho zao pema peponi.

Ndani ya pitapita katika mitandao nimekutana na hotuba ya Mwenyekiti wa Pwani (Chadema) machozi yamenitoka ila ni imani yangu Mungu atayafuta tu.

Niombe wanajf mweye hii clip wekeni katika uzi huu.

Juma pili njema watu wa Mungu
 
Wakuu wangu jf niwasalim kila mmoja kwa imani yake

Poleni wafiwa wote kwa kuondokewa na wapendwa wenu kisa tu uchaguzi S.za mtaa, nimetoka katika maombi binafsi na moja ya maombi yangu leo nimemwambia Mungu wangu kutimiza kile alinena nami ndani ya siku 67. Katika maombi yangu leo nimewasha mishumaa 7 kuomba azipumzishe roho zao pema peponi.

Ndani ya pitapita katika mitandao nimekutana na hotuba ya Mwenyekiti wa Pwani (Chadema ) machozi yamenitoka ila ni imani yangu Mungu atayafuta tu.

Niombe wanajf mweye hii clip wekeni katika uzi huu .

Juma pili njema watu wa Mungu
Inasikitisha sana
 
Wakuu wangu JF niwasalim kila mmoja kwa imani yake

Poleni wafiwa wote kwa kuondokewa na wapendwa wenu kisa tu uchaguzi Serikali za mtaa, nimetoka katika maombi binafsi na moja ya maombi yangu leo nimemwambia Mungu wangu kutimiza kile alinena nami ndani ya siku 67. Katika maombi yangu leo nimewasha mishumaa 7 kuomba azipumzishe roho zao pema peponi.

Ndani ya pitapita katika mitandao nimekutana na hotuba ya Mwenyekiti wa Pwani (Chadema) machozi yamenitoka ila ni imani yangu Mungu atayafuta tu.

Niombe wanajf mweye hii clip wekeni katika uzi huu.

Juma pili njema watu wa Mungu
Hiyo hotuba iko wapi?
 
Kuna wahuni wameliingiza Taifa katika jaribu kuu, Mungu wangu mwaminifu ,barikiwa wote mliomwambia jiwe ,ukweli

Mungu yupo kazin
 
Wakuu wangu JF niwasalim kila mmoja kwa imani yake

Poleni wafiwa wote kwa kuondokewa na wapendwa wenu kisa tu uchaguzi Serikali za mtaa, nimetoka katika maombi binafsi na moja ya maombi yangu leo nimemwambia Mungu wangu kutimiza kile alinena nami ndani ya siku 67. Katika maombi yangu leo nimewasha mishumaa 7 kuomba azipumzishe roho zao pema peponi.

Ndani ya pitapita katika mitandao nimekutana na hotuba ya Mwenyekiti wa Pwani (Chadema) machozi yamenitoka ila ni imani yangu Mungu atayafuta tu.

Niombe wanajf mweye hii clip wekeni katika uzi huu.

Juma pili njema watu wa Mungu
kila nafsi itaonja umauti,
hakuna haja ya kutoa machozi hata kidogo 🐒
 
Mkuu kaa mbali ,sitaki unajisi katika maombi yangu kimpindi ichi, nakueshim sana tafadhali
gentleman,
heshima ni kitu cha bure cha hiyari,

omba bila kuchoka na uombe mambo ya maana sasa, sio kuomba huku ukiwa na chuki ndani yako, :pulpTRAVOLTA:
 
Wakuu wangu JF niwasalim kila mmoja kwa imani yake

Poleni wafiwa wote kwa kuondokewa na wapendwa wenu kisa tu uchaguzi Serikali za mtaa, nimetoka katika maombi binafsi na moja ya maombi yangu leo nimemwambia Mungu wangu kutimiza kile alinena nami ndani ya siku 67. Katika maombi yangu leo nimewasha mishumaa 7 kuomba azipumzishe roho zao pema peponi.

Ndani ya pitapita katika mitandao nimekutana na hotuba ya Mwenyekiti wa Pwani (Chadema) machozi yamenitoka ila ni imani yangu Mungu atayafuta tu.

Niombe wanajf mweye hii clip wekeni katika uzi huu.

Juma pili njema watu wa Mungu

View: https://youtu.be/oMsiGKft2R8?si=YjUyoHo8pCdZmTG-
 
Wachaga huwa hawatunani, wanajenga hoja.

Halafu wachaga wote wako bize kukuza mitaji ya biashara zao, na siyo kukuza uchawa.
Usidanganyike na jina ndugu, huyo alipewa mimba na kutelekezwa na mchaga,ndio maana yupo hivyo alivyo.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
wAAYu9E.jpg
 
Ningekua na chuki wala nisingetanguliza neno mkuu, sasa nakwambie kiama chenu chaja asema Bwana
CCM iko chini ya Bwana wa majeshi, lakini pia ccm ni jemedari wa vita.

Na, kwa Neema na Baraka za Mungu, ccm haipiganagi, lakini inashinda mashindano na vita zote:pulpTRAVOLTA:
 
Back
Top Bottom