Huyu bwana haangalii luninga yeye ni kutafuta watoto tu.
Nasikia furaha napoitazama picha hii
Huu uzazi ndo nautaka mimi
jamani nawataminiiiii mungu nijalie na mie.
ningewapata hao,ningeomba mungu tu awatunze kwakweli maana wameanza mapozi wangali wadogo
Pearl wewe mwenyewe mapozi ka sharobaro bi kidude, lazima uzae watoto mabitozi wenye pozi za lkulu
..Tehh! Teehhh! ikifika muda wa kuwapa nyonyo nadhani inakuwa burudani fulani hivi au utakuwa unawavizia wamelala unamuamsha mmoja mmoja??ningewapata hao,ningeomba mungu tu awatunze kwakweli maana wameanza mapozi wangali wadogo
..Tehh! Teehhh! ikifika muda wa kuwapa nyonyo nadhani inakuwa burudani fulani hivi au utakuwa unawavizia wamelala unamuamsha mmoja mmoja??
Picha nzuri sana ya kufungia mwaka, Senks 1st Lady. Can you!
wewe umeona picha ? mbona Prearl anasema haoni jamani:smile: