Hoteli za kitalii katika Mbuga na hifadhi: wawekezaji Dola 320 na serikali ya Tanzania dola 4.

BabaK

Member
Jun 30, 2009
14
0
Leo katika taarifa ya habari ITV asubuhi, nimesikiliza maelezo ya kamati ya utalii na mwenyekiti wa bodi ya TANAPA na imenihalibia siku kabisa.
>Kwamba katika kila mtalii anayelala katika Hoteli zilizo katika hifadhi na Mbuga zetu, selikali huambulia dola 4 na wawekezaji dola zaidi ya mia tatu (300)
>Kwamba Hoteli hizo sio tu ziamilikiwa na wawekezaji bali serikali ineziuza moja kwa moja na si mali ya Tanzania tena. Nanukuu '' Muheshimiwa mwenyekiti, hoteli hizi si kuwa zimemilikishwa kwa wawekezaji kwa Muda, Bali zimeuzwa parmanently kwa hawa wawekezaji, na selikali ikizitaka labda inunue tena''

Only in TANZANIA.....Tafakari na chukua HATUA..........
 
Hii ndo serikali ya ccm na maslahi ya tanzania then watu bado wanasema Mangula ni mzalendo wakati ubinafsishaji ulifanyika kipindi chake
 
Ukifikiria sana, jinsi hawa washenzi wanavyouza nchi bila kufikiria hatma ya kizazi cha kesho unapatwa na uchungu usiomithilika.
Ipo siku wote hawa watatujibu vizuri ilikuwa ni ujinga, kutokujua kizungu, kutokujua mikataba, ama ni wendawazimu uliochangiwa na vi 10%
 
Leo katika taarifa ya habari ITV asubuhi, nimesikiliza maelezo ya kamati ya utalii na mwenyekiti wa bodi ya TANAPA na imenihalibia siku kabisa.
>Kwamba katika kila mtalii anayelala katika Hoteli zilizo katika hifadhi na Mbuga zetu, selikali huambulia dola 4 na wawekezaji dola zaidi ya mia tatu (300)
>Kwamba Hoteli hizo sio tu ziamilikiwa na wawekezaji bali serikali ineziuza moja kwa moja na si mali ya Tanzania tena. Nanukuu '' Muheshimiwa mwenyekiti, hoteli hizi si kuwa zimemilikishwa kwa wawekezaji kwa Muda, Bali zimeuzwa parmanently kwa hawa wawekezaji, na selikali ikizitaka labda inunue tena''

Only in TANZANIA.....Tafakari na chukua HATUA..........

huenda ikawa tatizo la watanzania kupata sroke na stress chanzo ni serikali yao
 
Mbaya zaidi huwa wana charge bei ya PEAK SEASON November hadi March 31. Low season ni April na May tu then High season prices applies from JUNE to OCTOBER. Wizi mtu mtupu!
 
>Kwamba katika kila mtalii anayelala katika Hoteli zilizo katika hifadhi na Mbuga zetu, selikali huambulia dola 4 na wawekezaji dola zaidi ya mia tatu (300)
>Kwamba Hoteli hizo sio tu ziamilikiwa na wawekezaji bali serikali ineziuza moja kwa moja na si mali ya Tanzania tena.
Wait a minute...hiyo dola 4 ni concesion fee wanayolipa kwa TANAPA. Pamoja na hiyo bado wanalipa VAT na kodi nyingine kwa serikali (TRA)
Operation cost za mbugani ni kubwa kuliko ya hotel zilizoko mjini. Katika hiyo $300 anatakiwa amlishe mtalii, amlaze, amtembeze mbugani, alipe wafanyakazi, mantain majengo mitambo na magari.

Hii ni biashara jamani.
 
Back
Top Bottom