Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,264
- 2,961
Huu
Huu kama n mkeka tunaita,both team will scoreIsrael mtoa roho hayuko likizo
Huu kama n mkeka tunaita,both team will scoreIsrael mtoa roho hayuko likizo
ndo wameshampiga hivoEti huo ni uzalendo. Ila siku wakishtuka hao wanaojiita chawa wa chama: walah watapiga mtu mawe hadharani tena kweupeeee
umemroga tayari.maneono yako haya kijana ymemkataWabunge wote wako pale kwa hisani yake. Watathubutu kusema chochote? Jamaa aliona mbali. Alijua akiwaweka kwenye nafasi hizo hawawezi kufungua mdomo kwani mtu hawezi kukata mkono unaomlisha. Na hii miradi inaashiria kitu kimoja: Bado yupo sana kuhakikisha ameikamilisha na kuisimamia. Yupo beyond 5 years to come. Labda watanzania wawe wakali kweli kweli tena kweli ashindwe kujiongezea muda. Ila bado ataweka kikaragosi chake atakachokiendesha remotely.
Hizi ni comments za mwisho mwisho kabisa .Ni kama vile zilikuwa ni unabii!Hata Mobutu alijitahidi kupendelea kwao, lakini mwisho wa siku yamebakia tu kuwa magofu.
imemmwza yeye sasa.inatisha sanaChato imekua chatu inameza kila kitu.
wewe wewe umemroga jiweIsrael mtoa roho hayuko likizo
basi ujue amesha nyamazishwa nchi ina wenyewe hiiHivi Mheshimiwa Rais wangu ingekuwa ndo ametoka Bagamoyo ambako ni very justifiable kwa miradi kama hii, si wangejenga hadi mahotel ya Nyota 5?! Si wangesema Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam umejengwa sehemu iliyobana kwahiyo uhamishiwe Bagamoyo?! Si wangesema msongamano wa magari kutoka Dar to Tegeta ni mkubwa sana kwahiyo ijengwe barabara ya juu kwa juu kutoka Mwenge hadi Bagamoyo?! Si wangesema ijengwe satellite city Bagamoyo ili kui-backup Dar es salaam?! Si wangehamishwa wanyama kutoka kila kona kupelekwa Saadan?! Hivi hata ile Mlonganzila Hospital ingejengwa Bagamoyo?
Ukweli ni kwamba, Bagamoyo ingekuwa na vigezo vingi vya kuhalalisha massive investments, vigezo ambavyo kwa Chato hata mtoto mdogo huwezi kumshawishi. Hivi kuna mtu kawahi kufika Masasi humu?! Kwa mara ya kwanza, nilienda Masasi last week. Ni mji mkubwa, umechangamka kweli kweli. Hivi Mheshimiwa Rais wetu angekuwa ndo Mkapa Masasi hivi sasa si ingekuwa ndo Manispaa huku ikipelekwa miradi kadhaa ili hatimae iwe ndo center ya kusini?! Kinyume chake, ukitembea Masasi unaona wazi yaliyopo hayatokani na upendeleo wowote wa serikali bali uchakalikaji wa wananchi wenyewe.
Enzi hizo watu wamechoshwa na kukata tamaa kweli kweli!! 😃😃 Yaani kama unamuombea Mubutu aanguke vile tena haraka iwezekanavyo!! Ila mwisho wa siku ndiyo hivyo tena!Hizi ni comments za mwisho mwisho kabisa .Ni kama vile zilikuwa ni unabii!
Ndio viko Tanzania, sasa nani atapeleka ndege kubwa Chato?La muhimu ipo TANZANIA SI nchi za nje
Aisee!Serikali inatekeleza ilani ya CCM!
Kwa sasa kila eneo nchini kuna miradi mikubwa inaendelea.
Usiniambie Kuna waliowekeza mahoteli😃, hii kwenye betting tunaita ngumu kumezaNdio viko Tanzania, sasa nani atapeleka ndege kubwa Chato?
Tarehe 26 ndio mwisho wa matumizi ya uwanja huu. Na waliowekeza mahoteli washakula hasara
Walishindwa kufikiri kuwa Jiwe hatatawala milele?Usiniambie Kuna waliowekeza mahoteli😃, hii kwenye betting tunaita ngumu kumeza
Ndo kubeti kwenyewe uko mkuuWalishindwa kufikiri kuwa Jiwe hatatawala milele?
Kishakufa sasaNi kweli. lakini hata hivyo majengo kugeuka magofu ni suala la muda tu. Ataishi milele? Jibu ni hapana. Na siku akiwa hayuko tu mambo yataanza kugeuka. Kitu kama ule uwanja wa ndege ni nani atautumia?