Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
do inakaribia mwaka sasa sijui kapotelea wapi au tayari marehemu?
Au wamemkamata for sedition
do inakaribia mwaka sasa sijui kapotelea wapi au tayari marehemu?
inawezekana mambo ya bongo si unayajua tenaau wamemkamata for sedition
kama picha la kihindi vile,stering hauwawi anaendeleza ubabe,ndugu yetu mleta mada sijui kazimishwa wapi.mtoa mada labda aliminywa kabla hajamalizia story yake, kwa arusha, jengo hili linahisiwa ni la mgonja. Nyuma ya hili jengo kuna nyumba za nssf na kwa taarifa nilizonazo, mmiliki wa jengo hili amezinunua ili kuongeza eneo la car park na tayari wapangaji wa nyumba hizo walipewa notice ya kuhama.
Jamani wana jamvi poleni kwa kusubiri. Sijafa, sijanyamazishwa wala sijakatiwa "mshiko" ili nikae kimya.Issue ni kwamba, mpaka sasa sijaweza ku verify asilimia mia kwa mia taarifa/habari nilizonazo. Kama ningeendelea na hii stori inge bidi nitumie maneno kama "it is alleged", "It is said" "unverified reports claim" Hivyo basi niliona sii vyema kuendelea kuandika bila kuwa na uhakika.Muda wa kufuatililia na ku verify what I have is an issue at the moment. I suggest ajitokeze mtu mwingine a carry on the torch. I will provide him/her with all I have collected.
Ni kweli flats za sorrounding area zimeuzwa kama alivyorepoti mwana jamvi mmoja. Pia ni kweli ujenzi wa jengo um-resume kama alivyorepoti mwingine.
Anayetaka kuendeleza libeneke anipe email yake nitamtumia habari nilizonazo, azi verify then azi post hapa jamvini.
Wasalaam..
acha woga wewe mwaga mboga hapa ubaoni unaogopa nini kama nondo unazo?Jamani wana jamvi poleni kwa kusubiri. Sijafa, sijanyamazishwa wala sijakatiwa "mshiko" ili nikae kimya.Issue ni kwamba, mpaka sasa sijaweza ku verify asilimia mia kwa mia taarifa/habari nilizonazo. Kama ningeendelea na hii stori inge bidi nitumie maneno kama "it is alleged", "It is said" "unverified reports claim" Hivyo basi niliona sii vyema kuendelea kuandika bila kuwa na uhakika.Muda wa kufuatililia na ku verify what I have is an issue at the moment. I suggest ajitokeze mtu mwingine a carry on the torch. I will provide him/her with all I have collected.
Ni kweli flats za sorrounding area zimeuzwa kama alivyorepoti mwana jamvi mmoja. Pia ni kweli ujenzi wa jengo um-resume kama alivyorepoti mwingine.
Anayetaka kuendeleza libeneke anipe email yake nitamtumia habari nilizonazo, azi verify then azi post hapa jamvini.
Wasalaam..
Nimepita hapo leo,naona hadi mabango wameanza kubanduka.Atakuwa amepatiwa kibanoHivi hili jengo bado linaendelezwa??pamekua kimya sana na naona kama limesimama tena.....au ndio baba Jesca effect??
Umepatia sawia.Kipi kinachoendelea hapo?Aiseee mitaa ya Frolida kama unaenda stendi kuu karibu na the blue rock .