Shana Boyz enzi zao walikuwa na Maduka ya jumla,Magari na Mabasi ktk mji wa Moshi na Arusha... Nilishangaa kuwa ni nani aliyeporomosha ilo ghorofa ambalo limejengwa chini ya Kiwango kumbe ni wao... Wakishirikiana na Gray???
Hapana nadhani Tuendelee kusubiri, inawezekana anapanga data zake vyema.
watanzania tuache chuki.....huyu aliyejenga hoteli na wale wanaojenga mahoteli dubai na south africa...nani mbaya????
kama ameshajenga hadi amefikia hapo ..ukimsimamisha unafaidika nini...maaana unabaki na gofu tu!........mimi nafikiri kwa hapo jengo lilipofika bora wamuache amalizie hoteli...ataajiri watu,atalipa kodi na at least we will get some returns for our tax money!!
watanzania tuache chuki.....huyu aliyejenga hoteli na wale wanaojenga mahoteli dubai na south africa...nani mbaya????
kama ameshajenga hadi amefikia hapo ..ukimsimamisha unafaidika nini...maaana unabaki na gofu tu!........mimi nafikiri kwa hapo jengo lilipofika bora wamuache amalizie hoteli...ataajiri watu,atalipa kodi na at least we will get some returns for our tax money!!
do inakaribia mwaka sasa sijui kapotelea wapi au tayari marehemu?lifer,
hujaamka tu?